Kwa ajili ya biashara yangu madam. Kujuwa biashara yangu jaribu kupitia instagram account yangu tawa_water_proffesional
Shekhe mbona wanitisha nipe mwongozo basi
Unatafuta ugomvi na le mutuz..hahahhaKiulaya ulaya ni nzuri coz inaonesha unaimpact kwa jamii so inavutia hata watu na makampuni mengine kufanya kazi na ww....
Unaweza hata ukaombe mkopo bank...
Kibongobongo sidhani kama inafaida yyte...,
Mi naona watu watakuwa wanakufatilia ili either wakitukane au wakujue kiundani then basi hakuna cha zaidi
Kibongo bongo haiwezekani?? Kaka le mtumboz kule yeye anasema ukimtukana ye anaingiza pesa...bado cjamuelewaBaadhi hasa majuu wanatumika na makampuni mbali mbali kutangaza bidhaa zao ikiwemo nguo viatu furnitures etc.
Baadhi wametajirika na kuboresha maisha yao kwa kiwango kikubwa sana.
Fanya sponsor adOok sasa unanishauri nifanyeje maana lengo langu ni matangazo yangu kuwafikia watu wengi
Sponsor ads si huwa zina malipo zile?
Hivi kufanya hio sponsored Ads ni gharama sana? Na ni lazima uende kwenye kampuni wakufanyie hivyo au?Ooh vizuri..ila kama wahitaji followers (wateja)ni better kuswitch accnt iwe ya biashara kwa kufanya sponsor ad..hapo utaongeza followers kirahisi na wateja pia
Hivi kufanya hio sponsored Ads ni gharama sana? Na ni lazima uende kwenye kampuni wakufanyie hivyo au?
Shida ya kununua mapage ni moja.Simjuwi kiongozi ila hiyo page anayotaka kuniuzia kankonyesha tayari yeye yupo Moshi mm nipo Dar hivi anaweza kunipivaje hapo kiongozi?
Mimi ninayo kadi ya kununua vitu mtandaoni inakuaje kuaje je unaweza sema labda upate followers wa kutoka sehemu fulani i.e Dar es salaam?Sio gharama sana hua inacost kwenye 30k na kuendelea hapo inategemea unataka tangazo lako lionekane kwa muda gani.
Sio lazima uende kwa kampuni waweza fanya mwenyewe as long as unacredit card
Shida ya kununua mapage ni moja.
Hujui walichokuwa wanafollow hao followers kwa sababu yeye keshafuta almost posts zote na kakubakishia chache anakuuzia wewe. Ukiitumia wewe ni hasara, mfano yeye alikua anapost umbeya na udaku udaku akapata followers wakina mwajuma ndala ndefu na vivulana vya mjini. Wakajaa huko. Au alikua anapost wanawake wakitingisha makalio na mapozi ya nusu uchi. Akawajaza madogo wanaobalehe.
Wewe unakuja kuwauzia viatu vya 50,000 au laki kati ya hao wote hakuna atakayekuwa mteja wako wa maana. Wao wanachojua ni hela ya bundle tu. Utakuta mtu ana followers 3000 lakini akipost bidhaa analikes 11.
Interest 2 watakaoulizia ulizia kisha basi. Hakuna utakayeclose naye deal.
Kuna manzi mmoja namjua. Alikua anajipost sana kavaa nusu uchi na anaonekana kwenye video za maunderdog kadhaa za music. Kifupi ni malaya tu wa town. Akapata followers kibao. Sasa hivi anaiuza ile page.
Unatarajia nini hapo.
Sina Instagram na sitakaa kuja kutumia instagaram
Mimi ninayo kadi ya kununua vitu mtandaoni inakuaje kuaje je unaweza sema labda upate followers wa kutoka sehemu fulani i.e Dar es salaam?
Kibongo bongo haiwezekani?? Kaka le mtumboz kule yeye anasema ukimtukana ye anaingiza pesa...bado cjamuelewa