Nini faida ya kuoa mwanamke ambaye ni bikira

Nini faida ya kuoa mwanamke ambaye ni bikira

Ngomo

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2009
Posts
200
Reaction score
95
Watu wengi wanapenda kuoa wanawake bikira, wakati unapomuoa bikira yake inakuwepo ukishambikiri anakuwa sio bikira tena. Je kuna haja ya kuhangaika na mabikira wakati bikira zao hazidumu hata week moja? Si bora kutafuta yoyote yule aliye tulia na mnayependana kwa wakati huo?
 
Bikira ni mtu binafsi kuamua kujitunza,mpaka atakapo amua kutolewa.bikira haimfanyi mtu apendwe sana.ni sehemu tu ya kitu,ambacho wanaume wengi wanapenda kuikuta kwa wale wawapendao.na siyo kitu cha kudumu,ikitolewa imetolewa.
 
Chungwa kalimenya utadhani chenza,
lishamenywa na waume wenza oooooh!!x2
:focus:
Nahisi huo ushauri utawafikia wahusika wenyewe!!!
 
Mwanaume husikia raha sana anapombikiri mwanamke, na pia anajisikia faraja kuwa yeye ndiye wa kwanza kukata utepe!

Tatizo ukizoea kubikiri utataka uendelee kubikiri. Kuna raha ya kubikiri we acha tu!
Anakukumbusha mbali sanaaaaaaaaa! mwili unakusisimka sukikumbuka sikuileeee! lol.
 
mwanaume husikia raha sana anapombikiri mwanamke, na pia anajisikia faraja kuwa yeye ndiye wa kwanza kukata utepe!

Tatizo ukizoea kubikiri utataka uendelee kubikiri. Kuna raha ya kubikiri we acha tu!

unamatatizo ya akili wewe !!!
 
Moja ya faida ya mwanamke bikra ni kwamba wewe ukiwa mwanaume wa kwanza kwake c rahisi xn mwanamke kukuacha ww mwanaume, na atakukumbuka coz ww ndo ulimfundisha mapenzi'.....daaah! Ila asikwambie m2 aliyegundua ki2 mapenzi ame2sababishia matatizo xn
 
Acha kujibembeleza kwa kupata Used wako.BIKRA INA RAHA Yake bhana.

Aaah wapi! magari tunaendesha used na ndani full AC na yana raha zake sembuse mwanamke!? Mixer damu na maumivu,mwanamke mgeni wa tukio,unadhani mechi inanoga??? labda km unacheza mechi kwa ufahari ya kuwa nawe upo kiwanja kipya,then zitakupa raha hizo bikira! Used mzuka,tayari ishajua bali za barabara,ishavumilia mvua na jua na oil ishazunguka vya kutosha kwenye injini yoooote mara nyingi! Experience matters!
 
Moja ya faida ya mwanamke bikra ni kwamba wewe ukiwa mwanaume wa kwanza kwake c rahisi xn mwanamke kukuacha ww mwanaume, na atakukumbuka coz ww ndo ulimfundisha mapenzi'.....daaah! Ila asikwambie m2 aliyegundua ki2 mapenzi ame2sababishia matatizo xn

Ni mtazamo tu,uswazi kwetu watu wanavunja leo,kesho wengine wanaendeleza km kawa! kusahaulika au kukumbukwa inategemea na jinsi ulivyo miliki jukwaa au kiwanja siku ya tukio ht kama ni kitu used iwapo viwango vyako hakuwahi kufikishwa,ww utaendelea kushikilia namba 1 till apatikane wa kukufunika tena!
 
acheni wenye mademu 2lovunja wenyewe 2seme,wewe ni bhana,nakuambia ni fahari yaan unajisikia fahari kuwa nae,yaan sa ingne unazama chumvin bila kinyongo,c nyie used ukizama unakumbuka kuna mjomba nae kashafanya hvyo,afu asikudanganye m2,kujua mamitindo mastail,inakua poa cna wewe kumfundisha kama mwanaume,c unakuta ji2 used bs linajipindua mpaka unasema uwi kahaba nini!kwenden zenyu kule bhana,heshma ya joho ibaki joho
 
kwann nawe unapenda gari ambayo haijajambiwa na wajapani kabisa!?
 
Back
Top Bottom