Nini faida ya kuoa mwanamke ambaye ni bikira


nimecheka sana....jioni njema mkuu.
 



na pia ulimpa shingapi! inasaidia
 
kushoto kulia wa kwanza ata baki wa kwanza yeye ndo mzindua mgodi, kwahiyo kama unapenda used wewe unapenda makombo yaliyo chokwa
 
Kupata Hao Wa2 Ni Ngumu Sana Now Dayz So Nlichoamua Ni Kuchafuachafua 2 Coz Sijui Huyo Mke Wangu Niliyepangiwa Na Mungu Ashapitiwa Na Wangapi
 
BK inaonyesha jinsi gan bint kajitunze inamfanya mwanaume ampende sana na kumuheshimu.so kwa wenye nazo waendelee kujitunza.
 
Wanaume bwana. Mnatafuta bikira ninyi wenyewe hamna hizo bikira loo. Muwaombee mabint zenu wasije chafuliwa kama ninyi mnavyo chafua watoto wa watu
 
acha kudanganya watu,kuna raha gani kubikiri?
mimi nishabikiri sana na sijawahi kuiona au kuipata io raha,sana kero tu..bora waloisha bikiriwa...
Kwa hiyo na wewe umechangia kuwafanya wadada wa watu waitwe screpa. Sio vizuriiii
 
Mwanaume husikia raha sana anapombikiri mwanamke, na pia anajisikia faraja kuwa yeye ndiye wa kwanza kukata utepe!

Tatizo ukizoea kubikiri utataka uendelee kubikiri. Kuna raha ya kubikiri we acha tu!
Eti eeeee
 
Moja ya faida ya mwanamke bikra ni kwamba wewe ukiwa mwanaume wa kwanza kwake c rahisi xn mwanamke kukuacha ww mwanaume, na atakukumbuka coz ww ndo ulimfundisha mapenzi'.....daaah! Ila asikwambie m2 aliyegundua ki2 mapenzi ame2sababishia matatizo xn
Bikira inatafutwa ili usiachwe! Enzi zetu tulibikiri kadhaa na hatukuoana. Na nilikuja kuoana na aliyebikiriwa na mwingine (ni ukweli) na napata kitu rungu inapenda naye anajiona kapata kuliko alichokiona kwa aliyembikiri. Hapo kunakuachana?

Kati ya niliyowabakiri walikuwa washamba wa mapenzi na wengine wala hawakuwa ubavu wangu (sehemu zetu zilikuwa hazishahabiani)!

Wanaume wengine wameoa bikira na bado wanaenda kwa waliobikiriwa na wengine ambako wanaridhishwa kimapenzi na wanawake zao wanagawa kwa siri kwa wanaume wengine.

Siri iliyo katika jambo hili ni kubwa na ndio maana kwa mtizamo wangu, kama kuna moto basi wengi tutachomwa kwasababu ya ngono.
 
Kula tunda kimasihara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…