Vocal Fremitus
JF-Expert Member
- Oct 20, 2016
- 1,287
- 6,648
Aisee sikujua. Kumbe watu wanatembea na fursa kimya kimyaHilo ni agizo kutoka kwa samia mkuu, ameagiza matrafiki kila gari watakalo likuta limelaza manyoya kwenye dashbord apewe hela ya mafuta fulltank,
So watu wanatembea na fursa.
sasa mbona wengine wanaonekana kama wameweka mataka taka!Nadhani :-
1. Urembo kwenye gari
sasa mbona gari nyingne ndio mavumbi hunasa pale katika manyoya na kusababisha mpaka mtu ukiingia unapiga chafya mara nyingi nyingi.Kuzuia
1.vumbi
Uchafu huu, usiweke, hayo vinyoya vidogo vinatoka sana baada ya miezi 2 au 3 angalia ndani ya gari lako au nguo zako vinywele vidogo vidogo vingi utaviona vinasambaa kwenye viti hasa vya mbele na ukikaa vinashika nguo yako.. Gari inakuwa chafu vinyoa kibaoWakuu kumeibuka fashion ambayo naiona ina trend sana mjini. Huu mtindo wa kuweka urembo wa manyoya katika dashboard mpaka dashaboard almost kama yote inafunikwa! Wanaojua faida ya hii kitu tunaomba maelekezo.View attachment 2640916
Naona pia kiafya sio nzuri, vinyoya vikiingia kwenye mfumo wa koo vinaweza leta shida ya upumuaji huko mbele...Uchafu huu, usiweke, hayo vinyoya vidogo vinatoka sana baada ya miezi 2 au 3 angalia ndani ya gari lako au nguo zako vinywele vidogo vidogo vingi utaviona vinasambaa kwenye viti hasa vya mbele na ukikaa vinashika nguo yako.. Gari inakuwa chafu vinyoa kibao
[emoji3][emoji3][emoji3]umeandika nilichotaka kuandika..Magari ya wanajeshi yanaongoza kuweka hayo mavitu mpka gar inakua kama saluni ya mkongo
Mmh! wewe jaman π π π π π π πYanatumika kama pillow wakati wa kula tunda kimasihara.
NakaziaUchafu tu