Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 3,840
- 6,844
daah kwa maelezo yanayotolewa hapa hata ningekuwa mimi siwezi kupoteza ela kununua iyo kitu
ivi vitu vingine tunanunua kufuata mkumbo tu kwa kuwa fulani analo ngoja namimi niwe nacho
uko ni kujaza takataka tu ndani
ivi vitu vingine tunanunua kufuata mkumbo tu kwa kuwa fulani analo ngoja namimi niwe nacho
uko ni kujaza takataka tu ndani