getrusa
JF-Expert Member
- Aug 16, 2013
- 2,150
- 1,822
Wakuu habari za jioni, nimepata gari huku Malawi kwa bei ya kutupa ni rahisi nikionanisha na bei za nyumbani Tanzania.
Nataka kuinunua ina namba za usajili za hapa Malawi je itanigharimu kiasi gani kama ushuru..? Au kodi.
Naomba uzoefu kwa mlio wahi nunua gari kwa Nchi hizi
Sent using Jamii Forums mobile app
Nataka kuinunua ina namba za usajili za hapa Malawi je itanigharimu kiasi gani kama ushuru..? Au kodi.
Naomba uzoefu kwa mlio wahi nunua gari kwa Nchi hizi
Sent using Jamii Forums mobile app