hakuna cha historia ya tokea enzi eti Zanzibar ni yenye kumbukumbu mbaya,tatizo ni kuwa
TANZANIA hakuna Tume Huru ya Uchaguzi ,hilo ndio tatizo na lilianza kwa wapemba na sasa athari zake zimetua kwa machogo.
Na kubwa waZanzibari wameikataa CCM ,wanaochomekwa kitaalamu huitwa vibaraka ,nani asiejua Kikwete alifanya nini baada ya kuambiwa CCM imeshindwa uchaguzi bahati nzuri hata chombo kimoja cha habari kiliwahi kutangaza kwamba CUF imeshinda,
Mpaka leo katika mikusanyiko ya watu kuna watu wakitajwa majina yao WaZanzibari husema Laana tullah yaani Mwenyezi Mungu amshushie laana mtu huyo.
Propaganda za kusema Zanzibar wanahistoria iliyojaa umwagaji damu huo ni uongo na hauna nafasi tena ,weka Tume huru yenye kujiamini,isiyofuata maelekezo ya chama chochote .
tatizo la Tume huru sasa limetua hata hapa Tanganyika na tunayashuhudia ,sema huku machogo wanaogopa kuandamana wanashindwa kuoganaizi maandamano kiutaalamu ,nchi kubwa kama hii mnashindwaje kuoganaizi maandamano hata ya watu mia mia kila mji ,nina uhakika kama kila kitu kitakuwa organized,lakini jamaa ni magoigoi wa kutupwa.