Nini hasa chanzo na tiba ya ugonjwa Arthritis?

Nini hasa chanzo na tiba ya ugonjwa Arthritis?

njechele06

Senior Member
Joined
May 21, 2013
Posts
192
Reaction score
36
Wana jamvi habari.

Ningependa kufahamu nini hasa chanzo cha ugonjwa wa uvimbe wa mifupa ya kwenye joint(rheumatoid arthritis) pamoja na maumivu makali sanjari na viungo kuka kamaa/stiffness
hasa kwa kijana (miaka 29),maana nimejaribu kufuatilia nimefahamishwa kuwa huu ugonjwa ni common kwa wazee.

Je ni nini matibabu yake haswa?

Mwenye ufahamu zaidi wana jamvi anaweza kutusaidia.

MziziMkavu said;

Ugonjwa Wa Mifupa (Arthritis)

Arthritis ni nini?
Ni ugonjwa unaofanya viungo vyako kukauka na kuwa vigumu kuvisongesha kwani ukifanya hivyo, utasikia uchungu. Hali iliyo kawaida na kujitokeza sana sana ile inavamia viungo (Osteoarthritis) na ile inaathiri mwili mzima na kuufanya uvimbe ama kuleta mwasho viungoni. Mara nyingi, ugonjwa huu huwa haujitokezi bayana hadi pale ambapo mtu hufikia miaka arobaini au zaidi.

Ni nini dalili za ugonjwa huu? (Osteoarthritis)

Maumivu ya viungo baada ya mtu kufanya mazoezi ama shughuli za kutumia nguvu
Ugumu kwenye mikono, magoti, nyonga ama mgongo baada ya mtu kukaa kwa muda bila kusonga
Viungo kuvimba na kuwa vidhaifu na vyororo
Viungo kugongana na kutoa sauti mtu anajaribu kutembeatembea

Rheumatoid Arthritis

  • Viungo vyenye maumivu makali vyenye kukauka
  • Viungo kuwa na joto, vyekundu na kuvimba
  • Mtu kuwa na joto
  • Kuhisi mchovu na mdhoofu
  • Kukosa hamu ya chakula
Hutibiwaje?

Muone daktari kisha akufanyie uchunguzi. Unaweza kupata matibabu ya kumaliza maumivu na kufanya mazoezi ya kufanya viungo viwe vyepesi.
 
Ugonjwa Wa Mifupa (Arthritis)

Arthritis ni nini?
Ni ugonjwa unaofanya viungo vyako kukauka na kuwa vigumu kuvisongesha kwani ukifanya hivyo, utasikia uchungu. Hali iliyo kawaida na kujitokeza sana sana ile inavamia viungo (Osteoarthritis) na ile inaathiri mwili mzima na kuufanya uvimbe ama kuleta mwasho viungoni. Mara nyingi, ugonjwa huu huwa haujitokezi bayana hadi pale ambapo mtu hufikia miaka arobaini au zaidi.

Ni nini dalili za ugonjwa huu? (Osteoarthritis)

Maumivu ya viungo baada ya mtu kufanya mazoezi ama shughuli za kutumia nguvu
Ugumu kwenye mikono, magoti, nyonga ama mgongo baada ya mtu kukaa kwa muda bila kusonga
Viungo kuvimba na kuwa vidhaifu na vyororo
Viungo kugongana na kutoa sauti mtu anajaribu kutembeatembea

Rheumatoid Arthritis

  • Viungo vyenye maumivu makali vyenye kukauka
  • Viungo kuwa na joto, vyekundu na kuvimba
  • Mtu kuwa na joto
  • Kuhisi mchovu na mdhoofu
  • Kukosa hamu ya chakula
Hutibiwaje?

Muone daktari kisha akufanyie uchunguzi. Unaweza kupata matibabu ya kumaliza maumivu na kufanya mazoezi ya kufanya viungo viwe vyepesi.

 
5 WAYS TO TREAT RHEUMATOID ARTHRITIS NATURALLY


1. Go on a Fast

Fasting is one of the first things many natural health doctors suggest to patients with rheumatoid arthritis. Not eating at all often results in a significant reduction in symptoms, including pain, swelling and inflammation. During a fast, which usually lasts from 3 days to 1 week, you'll drink plenty of water and get lots of rest. People on juice fasts can go for up to 2 weeks without solid food. Just make sure the juice is fresh and organic. However, you should never fast unless you're under the supervision of a doctor since some people have underlying conditions that make them unable to fast safely.

2. Try an Elimination Diet

Many people with arthritis find that they are sensitive to certain foods. When they eat these foods, their rheumatoid-arthritis symptoms get worse. To determine whether you have any food sensitivities that may be causing you undue pain and suffering, try to remember what you ate in the hours before a bad arthritis attack. Eliminate that food from your diet for 2 weeks. If you experience a flareup of symptoms again after you re-introduce it to your diet, permanently remove it from the list of foods you eat.

3. Don't Eat Inflammatory Foods

Some foods promote inflammation, which you definitely want to avoid if you have rheumatoid arthritis. Dairy products are among the worst offenders in this category. Sugar, hydrogenated oils, white flour and fried foods all contribute to inflammation in the body. Instead, eat anti-inflammatory foods, such as salmon, olive oil, blueberries, ginger and garlic.

4. Take Cetyl Myristoleate

Cetyl myristoleate is a fatty acid that occurs naturally in some foods. When it's extracted and taken orally for at least 2 months, it has been shown to stop the disease process of rheumatoid arthritis in some people. Cetyl myristoleate was discovered when it was noticed that albino mice don't get rheumatoid arthritis. Naturally high levels of cetyl myristoleate in these mice were found to be the protective factor.

5. Urine May Help

Many people have found that their rheumatoid arthritis symptoms were successfully managed or even cured by urine therapy. It sounds horrible, but it's really not. Urine is a powerful immune-system modulator, and drinking your own can correct the imbalances in your

immune system that have caused it to attack your joints. A typical protocol for urine therapy is to put one drop of your first morning urine in a full glass of water and drink it. Each day, increase the number of drops of urine by five to 10, until you're drinking 1 to 2 oz. of urine

each day. Some people are able to increase the amount of urine they drink more quickly than this, as their senses readily adjust to accept the taste and smell of it.

Once you've reached 1 to 2 oz. of urine, take note of how your joints feel. Since you can't overdose on urine, you can increase your dose at that point if you're not feeling better yet. Keep increasing your dose until you notice an improvement in your symptoms, and then continue taking that dose of urine each day for the rest of your life.

Treat Rheumatoid Arthritis Naturally | LIVESTRONG.COM


Mkuu ukitaka upone kwa haraka jaribu kutumia Dawa hii yaani Mkojo wako mwenyewe uunywe unapo amka asubuhi Glasi moja kabla ya kula kitu kila siku kwa muda wa wiki moja utapona kabisa, Hayo Maradhi yako ya
Rheumatoid Arthritis.

Kabla ya kunywa mkojo wako nenda Hospitali kapime Mkojo wako kama huna Maradhi ya Zinaa au maradhi ya (UTI) Urinary Tract Infections | UTI ikiwa huna hayo maradhi unaweza kunywa Mkojo wako kwa kujitibia Maradhi yako ya Rheumatoid Arthritis ninakuhakikishia utapona baada ya siku 7 kutumia kunywa huo mkojo wako. Tumia kisha uje hapa unipe Feedback.
 
ANTI-INFLAMMATORY HERBS FOR RHEUMATOID ARTHRITIS

fotolia_7812561_XS.jpg
Photo Credit ginger image by Aleksandr Ugorenkov from Fotolia.comNumerous anti-inflammatory herbs may be effective for rheumatoid arthritis. According to the National

Institute of Arthritis and Musculoskeletal and Skin Diseases, rheumatoid arthritis is an inflammatory disease that

causes pain, swelling, stiffness and loss of function in the joints. Rheumatoid arthritis is an autoimmune condition in

which the immune system attacks the membrane lining the joints. Before taking herbs to treat rheumatoid arthritis, talk with a doctor about possible side effects and proper dosage.



Ginger


Ginger is an anti-inflammatory herb that may help treat rheumatoid arthritis. According to the University of Maryland Medical Center, the underground stem, or rhizome, of ginger has been used as a remedy for centuries in Asian, Indian and Arabic systems of medicine. Ginger has been used to treat numerous health conditions, including upset stomach, diarrhea, nausea, certain heart conditions, colic and arthritis, including rheumatoid arthritis. Dr. Sharol Tilgner, a naturopathic physician and author of the book "Herbal Medicine From the Heart of the Earth," states that ginger, also known as Zingiber officinalis, is a carminative, diaphoretic, antispasmodic and anti-inflammatory. Certain compounds in ginger are capable of inhibiting prostaglandin production, which may account for the anti-inflammatory properties of this herb.


White Willow


White willow is another anti-inflammatory herb that may help treat rheumatoid arthritis. The bark of the tree is used medicinally. According to the Memorial Sloan-Kettering Cancer Center, white willow, also known as Salix alba or willow bark, contains salicin, which is an anti-inflammatory agent whose chemical composition is similar to aspirin. White willow has been used to treat numerous health problems, including fever, headaches, joint inflammation, influenza, muscle pain and excessive body weight. According to Tilgner, white willow is an astringent, analgesic and anti-inflammatory. White willow, notes Tilgner, is commonly used to treat fevers, headaches and rheumatism. White willow should not be used if you have a bleeding disorder such as hemophilia.


Turmeric


Turmeric contains curcumin, which is an anti-inflammatory agent that may help treat rheumatoid arthritis. According to the University of Maryland Medical Center, turmeric, also known as Curcuma longa, has been used for 4,000 years to treat a variety of health problems, including indigestion, ulcerative colitis, stomach ulcers, atherosclerosis, cancer, diabetes and certain infections. The National Center for Complementary and Alternative Medicine states that curcumenoids, a family of chemicals found in turmeric, may be responsible for the beneficial effects of this herb on rheumatoid arthritis, including reduced joint swelling. Do not take turmeric if you are pregnant.


Dawa zingine pia zinasaidia kutibu Maradhi yako tumia Tangawizi chemsha uwe unakunywa kama chai vile kikombe kimoja cha chai ya tangawizi kutwa mara 3 kila siku.

Unaweza pia kuchemsha manjano kwa kunywa kam tangawizi ila kwa mwanamke mwenye mimba asinywe Manjano.
 
Heshima kwako mzizi mkavu

Ahsante kwa mchango wa kitabibu ,response shall be deliver after the medical use
 
Nilifanyiwa upasuaji na kudungwa sindano ya ganzi kwenye utii Wa mgongo baada ya mwaka kuna kitu kunakuwa kama kinatembea kutoka mguuni mpaka mkononi na kusababisha bega kuuma na mkono kuwa na ganzi na kushindwa kuandika hali hiyo utumia sekunde1 kisha hurudi kawaida.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tafuta Dawa inaitwa halmiti mafuta ya swaum mafuta ya ndimu na mafuta ya nyonyo changanya jichue halafu kila asubuh kunywa maji ya uvuguvugu Lita mbili na nusu kamulia ndimu moja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Heshima kwenu wakuu,

Nina ndugu yangu anasumbuliwa na ugonjwa wa Arthritis. Mwenye kujua tiba mbadala ya ugonjwa huu naomba anijuze plz!

Natanguliza shukrani!
 
Heshima kwenu wakuu,

Nina ndugu yangu anasumbuliwa na ugonjwa wa Arthritis. Mwenye kujua tiba mbadala ya ugonjwa huu naomba anijuze plz!

Natanguliza shukrani!
vipi ushajiunga na mpango wa balozi cuba Humphrey polepole
kwa ajili ya kupata dawa ya ugonjwa huu.
 
Back
Top Bottom