Nini hasa hupelekea wasichana kubadilika kimuonekano baada ya kuzaa?

Nini hasa hupelekea wasichana kubadilika kimuonekano baada ya kuzaa?

Hivi inakuaje mpaka binti wa miaka ishirini kisa ndoa/au umezaa watoto wawili watatu unakuwa kama bibi wa miaka hamsini...ndio majukumu au nini hii.....

Maana kuna binti hapa mtaani kwetu alikuwa sister du sio wa nchi hii...mrembo haswaa....sasa huyu binti now amezaa watoto wawili lakini hali yake kimwili inahuzunisha hajijali tena wala kujithamini kama zamani ....akiamka na kanga aliyovaa asubuhi atashinda nayo mpaka jioni na anaona kawaida sana....sasa najiuliza kilichombadilisha hasa majukumu mengi,ndio amezaa amezeeka au ndiobmaisha magumu mpaka mtu unashindwa kujipenda mwenyewe..kwakweli nimeshindwa kabisa kupata jibu.
Hata mamaako alivyokuzaa alibadilika kwa hivyo muulize atakwambia
 
Ningeweza ningeweka pic yangu hapa ili ufute hiyo kauli kuzaa sio kuchakaa, huyo hajapata matunzo mazuri tu kitu ambacho hata ambae hajazaa asipopata matunzo anafubaa na kuzeeka
 
Unauliza na majibu unatupatia?? Umeshasema hajijali wala kujithamini
 
Siwezi kumcheka hali ya kuwa na mm ni mwanamke isipokuwa nimeona sana hili linatokea sasa najiuliza kwa nini inakuwa vile...siwezi kumcheka mamba hali ya kuwa sijavuka mto
Wazo zuri, akili iliyotulia....!! Sio kwa wote, ukianza pata watoto km huendi kazini jenga utamaduni wa kupasha maji asubuhi oga, vaa vizuri chana nywele zako, kisha wanawishe wanao USO zao.ndio uendelee na shuhuli zingine za hapo nyumbani.

Kila La heri mdogo wangu!!
 
Hivi inakuaje mpaka binti wa miaka ishirini kisa ndoa/au umezaa watoto wawili watatu unakuwa kama bibi wa miaka hamsini...ndio majukumu au nini hii.....

Maana kuna binti hapa mtaani kwetu alikuwa sister du sio wa nchi hii...mrembo haswaa....sasa huyu binti now amezaa watoto wawili lakini hali yake kimwili inahuzunisha hajijali tena wala kujithamini kama zamani ....akiamka na kanga aliyovaa asubuhi atashinda nayo mpaka jioni na anaona kawaida sana....sasa najiuliza kilichombadilisha hasa majukumu mengi,ndio amezaa amezeeka au ndiobmaisha magumu mpaka mtu unashindwa kujipenda mwenyewe..kwakweli nimeshindwa kabisa kupata jibu.
Kafika alipokuwa akipataka
 
Back
Top Bottom