Nini hasa kilitokea mpaka UDE UDE na rafiki yake wakauawa na polisi TANGA?

hahaaa!acha tu mi nlikua naomba ela ya photocopy na mitihani daily haiishi!tuit silipi nakula nalipia masomo matatu!
Huo ndio ulikuwa waqt wetu hawa wa kwetu nao ni waqt wao inabidi unakuwa mpole waqt mwingine.Mbaya zaidi unajua kabisa hapa nadanganywa unabaki kucheka.
 
Huo ndio ulikuwa waqt wetu hawa wa kwetu nao ni waqt wao inabidi unakuwa mpole waqt mwingine.
off course sometimes unajua kabisa kua hapa napigwa changa la macho!Ila huna jinsi!
kuna dogo langu limemaliza juzi jangwani juzi naenda kuchukua living naambiwa nadaiwa wakati nlilipa kila kitu!nlichoka mno!dogo amekula hela balaa!!
 
off course sometimes unajua kabisa kua hapa napigwa changa la macho!Ila huna jinsi!
kuna dogo langu limemaliza juzi jangwani juzi naenda kuchukua living naambiwa nadaiwa wakati nlilipa kila kitu!nlichoka mno!dogo amekula hela balaa!!
But usiumie analipa zile za photocopy ulizompiga mzee sometime malipo hapa hapa duniani so ulivyo rudi ulimpa kibano? au ulimzozea mbovu yakaisha? maana ukikaa nalo linakuumiza huna budi kulisema.
 
But usiumie analipa zile za photocopy ulizompiga mzee sometime malipo hapa hapa duniani so ulivyo rudi ulimpa kibano? au ulimzozea mbovu yakaisha? maana ukikaa nalo linakuumiza huna budi kulisema.
akuu!I did nothing to her!
nlimuambia mama ake mwanao kule hajalipa ada form six yote kalipa NECTA tu!ikabdi nlipe mi sijamuuliza chochote kile naona uvivu mie!!!
nasubiri maana nae si kabakiza miaka 3 au mi nne!akione cha moto!
 
akuu!I did nothing to her!
nlimuambia mama ake mwanao kule hajalipa ada form six yote kalipa NECTA tu!ikabdi nlipe mi sijamuuliza chochote kile naona uvivu mie!!!
nasubiri maana nae si kabakiza miaka 3 au mi nne!akione cha moto!
Pole nahisi maumivu uliopata ila ndo ukubwa jalala huo.
 
Mkuu wanasema waliwakimbiza mpk ilipofika sehemu ambapo ikishindikana wao kukimbia, walipoona hivyo wakachomoa bunduki wakaanza kujibizana na askari ndo ikatokea 2 men down
marehemu walikuwa na silaha za moto?
 
Hahahaah! hiki ni chanzo cha kuaminika kabisa? ila kuna uwezekano una link nao ndo maana avatar yako umewaweka.
yap!mama yao na mama angu na!wamekutana undugu kwa bibi mzaa babu alioa sasa kule alikooa binamu yake alikua na watoto wa kufikia ndo undugu ulikoanzia!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…