Naskia hawa vijana ni wezi maarufu wa power window na vifaa vingine... Walishaonywa na kuwekwa ndani several times tena kwenye mikoa tofautiTunasikia stori za upende mmoja tu kwa vile Marehemu hawezi kuongea. Ukweli wanaujua Polisi. Lakini cha kunishangaza inakuwaje kibaka wa tairi la gari hana zana yoyote apigwe risasi? Kuna watu inabidi wawajibike hapa!
Heat=hit! Kidhungu kinabakwaHebu wairasmishe sanaa aisee, inafikiaje mwandishi wa heat songs anakuwa mwizi wa spares
Kaacha yaan kwenye show zake alikuwa anaenda na vibaka yeye anapiga ndan wenyewe wanaiba nje halafu anawarusha utasikia …"tunaimba nje na ndani" .yes!!qchief hizo ndo zilikua mambo zake!itakua aliacha!
Maana nimesoma mpaka kati nikawa nimeisha sahau mwanzohahahhahaaaaaaahahhaa!kama virus vile!
Dizaini flan hivi kama waimba mchiriku wanakwambia tunapigia miguu yote.Kaacha yaan kwenye show zake alikuwa anaenda na vibaka yeye anapiga ndan wenyewe wanaiba nje halafu anawarusha utasikia …"tunaimba nje na ndani" .
hahahaaaaaa!!!udugu wa mchanga na cement!kukutana kwenye ujenzi!Maana nimesoma mpaka kati nikawa nimeisha sahau mwanzo
Sasa nyie si muende pm mbona mnaharibu thread wengine wanataka taarifa za msiba nyie mmejianzishia mauzauza yenu.yap!mama yao na mama angu na!wamekutana undugu kwa bibi mzaa babu alioa sasa kule alikooa binamu yake alikua na watoto wa kufikia ndo undugu ulikoanzia!
hhhhaaaahhhaaa!!msiba wenyewe watu hawachangii!!Sasa nyie si muende pm mbona mnaharibu thread wengine wanataka taarifa za msiba nyie mmejianzishia mauzauza yenu.
But ujue upo undugu wa namna hiyo unakuwa na thamani kuliko wa toka nitokehahahaaaaaa!!!udugu wa mchanga na cement!kukutana kwenye ujenzi!
Ha ha ha ha nimecheka sana mkuu, eti "tunaimba nje na ndani" by the way hii VITAIMANA ORIGINAL AU REMIX BY FERE GOLAKaacha yaan kwenye show zake alikuwa anaenda na vibaka yeye anapiga ndan wenyewe wanaiba nje halafu anawarusha utasikia …"tunaimba nje na ndani" .
Poa poa JUADOKAHeat=hit! Kidhungu kinabakwa
sana tu!But ujue upo undugu wa namna hiyo unakuwa na thamani kuliko wa toka nitoke
Ulikuwa ujuwi some of them unga ndio mpanga ata yule wa nani pia ndio shughuli zake anajiita .....teHabari zenyu wakuu, juzi juzi hapa zilisambaa habari kuhusu huyu jamaa wakuitwa UDEUDE, msanii na mtunzi wa nyimbo kadhaa za mastaa hapa bongo kwamba alipigwa risasi, akiwa na msanii mwenzake na wote wakapoteza maisha kwa tuhuma za ujambazi huko TANGA, kwanza naomba kujuzwa kama ni kweli na pia nijue hasa nini kilitokea! Yaani inamaana mastaa wetu wanaishi maisha mazuri huku wakifanya mambo mabaya nyuma ya pazia? Tafadhali naomba kujuzwa
Wengi wana bastolana wewe unaamini kuwa wezi wa vifaa vya magari wanaweza kumiliki bunduki?!
Mzigo?Yani nlikua nimeweka mzigo chini ya kiti kwahiyo wangeniwahi ilikua nikajisalimishe kituoni
Nlikua nimeuweka chini ya siti ya drevaMzigo?
Mkuu huyu chalii ni yupi au yule wa bob allyKuna rafki yangu siku moja aliniambia kuna washkaji tuwafate sehem flani ilikuwa asubuhi tumeamka nae homu tukanywa chai.mwisho akaniona sielekei akaamua kuondoka zake na alteza yake imefika mchana baba yake ananipigia simu kuniuliza kama niko nae nikamjibu kwamba tuliachana asubuhi.ikapita muda nikapigiwa simu tena na mama yake kwamba amekamatwa na polisi kuna tukio la ujambazi kwamba yeye na wenzake walitaka kufanya hivyo wamekamatwa nilivyosikia hivyo nikawasha pikipiki hadi usa river kuulizia naambiwa kuna majambazi wameuwawa hakuna alietoka kutazama pembeni naona alteza hapo polisi ina matobo ya risasi na vioo vimepasuka yaani kidogo nizimie hakuna siku nilipata shock km siku hiyo.askari mmoja ndo akanichana kwamba ktk gari kulikuwa na wanaume 2 na wanawake 2 na mwanamke 1 ndo ameumia vibaya yuko hospitali na ishu inaonyesha walienda kupiga tukio sehem kufika mbele beria wakasimamishwa hawakusimama hivyo askari wa beria ya mbele wakapewa redio kwamba hiyo gari ina majambaz hivyo wakalipukiwa wote yule rafki yangu nimeenda mochwari nikamkuta yaani moyo umetoka nje kwa matobo ya risasi.hadi leo imekuwa nightmare kwangu tukio lile la kuskitisha na kujiuliza huyu rafki yangu toka utoto ameanza lini kwenda front hadi kujibizana risasi na askari!numebaki na maswali bila majibu hadi leo