Nini hasa kusudi la kuishi?

Maisha yetu sio season bt yamegeuka kua season ajili ya uchache wa maarifa.
 
Ujana usikutapeli aisee na usiishi kama Ted Jorgensen
Unataka kusema kula mishangazu ni hulka za ujana..

Hapana mkuu nipo care pia na play safe..
Mambo yangu yanaenda.
Sihongi mtu
Siombwi ya vocha
Siombwi ya saluni
Siombwi vicoba

Mkuu imagine hapo.....
 
Daaah kusema kweli hi story nimesoma huku nikiwa na masikitiko makubwa sana kaka..

Hapa kuna la kujifunza aiseee daaah maisha haya kweli tujiandae snaa kwa ajiri ya kesho yetu .

Kaka asante sana kwa ushauri kama huu naimani kidogo kidogo taanza kupata mwanga na kujua ni jinsi gani ya ku tune huu ujana wangu ukawa wa faida tele hapo baadae..

Nayopitia mimi kuna mda natamani niachane nayo ila naona nishaingizwa kwenye adiabatic system no body in no body out najuta aiseeee....

Na kama ni Elastic hapa ishafika limit i turned into plasticity sijui nitarudisha lini elasticity yangu maaana......
 
conclusion yako bado inabaki kuwa maisha ni Ufala.
Kwani maelezo yako bado yanamuacha mtu gizani.
Fikra kama za Atheist, wewe ni Atheist?
 
roho hii radhi lakini mwili ni dhaifu 😮‍💨
 
Itampa faraja kuona kwamba hata kesho anaweza kujikwamua na kuendelea kupambana kuzivuka changamoto zake ili ajenge maisha mazuri kwa kiwango ambacho Mungu atambarikia kukipata.
Nikusifie kama paulo alivyowasifia waathene.. 😁
Yah unafikra nzuri za uchambuzi wa maisha na unaonekana ni mtu wa kupenda kufikiri, kuchambua na kutafuta tafuta ukweli wa mambo..

But naona unakwama sehemu moja hujui umuhimu wa mahusiano kati ya Mungu na binadamu katika maisha yake.
 
conclusion yako bado inabaki kuwa maisha ni Ufala.
Kwani maelezo yako bado yanamuacha mtu gizani.
Fikra kama za Atheist, wewe ni Atheist?
Mimi sio atheist, naamini sana katika Mungu

Kuona maelezo yangu yanamuacha mtu gizani ni kwa sababu "the most certain thing about life is uncertainity"


The fact hujui ni nini kitatokea masaa matatu au kesho inakufanya usiwe na total control ya maisha Ila tunachokifanya, ni kutengeneza mazingira ambayo yatasababisha maisha yetu yatokee katika namna flani au yatupe assurance of the future, lakini bado hatuna guarantee kuwa vitu vitabaki sawa kama tunavyitarajia..

Ndio maana watu wanawekeza sana ili tu wasije teseka uzeeni lakini haina maana kuwa wote waliowekeza hawakuishia kuteseka...

Watu wanazaa wapate familia ili uzeeni wasiishi upweke lakini haimaanishi wote wenye familia hawakutelekezwa

Hayo ndio maisha mkuu, by nature mimi nipo futuristic ila baada ya muda nikagundua maisha hayaweze kufurahiwa kama siku zote utakuwa na kiu ya kusubiri ufanikishe kitu flani ndio uyafurahie. Maisha ni kuishi kwenye moment uliyopo KWANZA, kuifurahia na kushukuru kwa ulichonacho kwanza..

Then kuenenda kwa kile unachokitarajia
 
Sawa ndio ufala wenyewe, sawa kwa sasa nina mke na watoto nakunywa na kustarehe lakini kesho yangu lolote linaweza kutokea kupoteza familia na hata mm kuwa ombaomba.
 
Sawa ndio ufala wenyewe, sawa kwa sasa nina mke na watoto nakunywa na kustarehe lakini kesho yangu lolote linaweza kutokea kupoteza familia na hata mm kuwa ombaomba.
Exactly Ila tu tunachofanya ni kuomba Mungu lakini kufanya kazi ili mradi mambo yasiende vibaya kwa kutojiandaa kwetu.

Ila cha msingi zaidi ni kufurahia hizo family moment ulizobarikiwa mkuu
 
Exactly Ila tu tunachofanya ni kuomba Mungu lakini kufanya kazi ili mradi mambo yasiende vibaya kwa kutojiandaa kwetu.

Ila cha msingi zaidi ni kufurahia hizo family moment ulizobarikiwa mkuu
I looking for assurance of better tomorrow
 
Mkuu hii imenigusa sanaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…