Mbelajr2023
Member
- Nov 23, 2022
- 54
- 115
Wanajamvi nina wasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!
Nimekuwa nukijiuliza maswali mengi sana kuhusu mambo mbalimbali yanayoendelea katika taifa letu pendwa kabisa Tanzania, Je ni Taifa Tajiri au Maskini?
Mzee wetu mmoja aliwahi kuulizwa kwanini Taifa lako Maskini? Alijibu hata yeye hajui, akaja mzee mwingine ambae mtoto mtundu akamwita mwendazake, yeye akatuambia umma wa watanzania kuwa Taifa hili si Maskini hata kidogo ni Tajiri.
Mambo aliyoyafanya yako wazi yanajulikana, sasa nimebaki katika mawazo mtanziko je nini hasa maana ya UTAJIRI? Wadau naomba mnisaidie,
Rational people think at the margin.
Karibuni
Nimekuwa nukijiuliza maswali mengi sana kuhusu mambo mbalimbali yanayoendelea katika taifa letu pendwa kabisa Tanzania, Je ni Taifa Tajiri au Maskini?
Mzee wetu mmoja aliwahi kuulizwa kwanini Taifa lako Maskini? Alijibu hata yeye hajui, akaja mzee mwingine ambae mtoto mtundu akamwita mwendazake, yeye akatuambia umma wa watanzania kuwa Taifa hili si Maskini hata kidogo ni Tajiri.
Mambo aliyoyafanya yako wazi yanajulikana, sasa nimebaki katika mawazo mtanziko je nini hasa maana ya UTAJIRI? Wadau naomba mnisaidie,
Rational people think at the margin.
Karibuni