Nini haswa huunda bendera ya taifa fulani? Uwepo wa rangi zote katika bendera hiyo au pia mpangilio wa rangi hizo husika? What makes a national flag?

Nini haswa huunda bendera ya taifa fulani? Uwepo wa rangi zote katika bendera hiyo au pia mpangilio wa rangi hizo husika? What makes a national flag?

Infantry Soldier

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2012
Posts
15,892
Reaction score
16,476
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums.

Ndugu zangu watanzania eti;

Nini haswa huunda bendera ya taifa fulani? Uwepo wa rangi zote katika bendera hiyo au pia mpangilio wa rangi hizo husika? What makes a national flag?

asasddddf.jpg


(1) Ukichanganya rangi zile zile katika "locations" tofauti tofauti bado itaitwa ni bendera ya taifa?

(2) Katika rangi zote ikikosekana moja wapo bado itabaki kuwa ni bendera ya taifa.

(3) Hiyo picha hapo juu tunaweza kuiita kuwa ni bendera ya taifa ilhali rangi ya blue ipo juu badala ya kuwa chini?

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
 
Ukijua maana ya rangi au nembo fln katika bendera bc utajua ni kwann zimetumika hapo

Mfano:

Bendera ya marekani ina nyota 50 ikiwakilisha majimbo yaliopo nchi nzima,
Bendera ya tanzania kuna rangi ya njano ikiwakilisha madini mbalimbali
N.k.

Hvy ukijua maana ndipo utajua ni kwann zimetumika hapo

----------------------------------------------------

Kuhusu mpangilio, wajuzi wa mambo waje waongezee
 
Rangi na alama za taifa ni zakufikiria upya (mjadala wa kitaifa). Rangi za kimama sana na hatuwezi kumtumia twiga myama boya kabisa huko porini kuwa ni nembo yetu. kwanini asiwe Jaguar, simba, cobra, chui au mbwa mwitu. Hiyo coat of arms ina watu dhaifu kwanini haikuwekwa majambia, bunduki au ata kifaru basi, tuko lege lege sana
 
Nielewavyo mimi Bendera za nchi nyingi za zamani hasa Ulaya na Asia zinawakilisha Dini zao, kwa mfano Bendera karibia zote za Ulaya zina alama ya Msalaba kwa maana ya Ukristo, za Uarabuni zina Mwezi na Nyota.

Israeli nyota ya Daudi au star of david kwa Kiingereza, huku kwetu Afrika ni hivyo hivyo ukiondoa labda nchi mpya zetu za kusini mwa Jangwa la sahara ambapo hazina Historia ya ukristo au Uislamu, lkn kwa mfano Ethiopia bendera yao ina Nyota ya Daudi, na Ethiopia ina Historia na Ukristo wa zamani sana.
 
Ukijua maana ya rangi au nembo fln katika bendera bc utajua ni kwann zimetumika hapo

Mfano:

Bendera ya marekani ina nyota 50 ikiwakilisha majimbo yaliopo nchi nzima,
Bendera ya tanzania kuna rangi ya njano ikiwakilisha madini mbalimbali
N.k.

Hvy ukijua maana ndipo utajua ni kwann zimetumika hapo

----------------------------------------------------

Kuhusu mpangilio, wajuzi wa mambo waje waongezee
Mkuu, just curious, siku Majimbo yakiongezwa au kupunguzwa kwa namna yoyote ile. Je, na bendera itabadilishwa!?

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums.

Ndugu zangu watanzania eti;

Nini haswa huunda bendera ya taifa fulani? Uwepo wa rangi zote katika bendera hiyo au pia mpangilio wa rangi hizo husika? What makes a national flag?

View attachment 1590341

(1) Ukichanganya rangi zile zile katika "locations" tofauti tofauti bado itaitwa ni bendera ya taifa?

(2) Katika rangi zote ikikosekana moja wapo bado itabaki kuwa ni bendera ya taifa.

(3) Hiyo picha hapo juu tunaweza kuiita kuwa ni bendera ya taifa ilhali rangi ya blue ipo juu badala ya kuwa chini?

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Ngoja kwanza....hiyo Aya ya mwisho kwahiyo hukubaliani na Lissu?

Bravo
 
Rangi na alama za taifa ni zakufikiria upya (mjadala wa kitaifa). Rangi za kimama sana na hatuwezi kumtumia twiga myama boya kabisa huko porini kuwa ni nembo yetu. kwanini asiwe Jaguar, simba, cobra, chui au mbwa mwitu. Hiyo coat of arms ina watu dhaifu kwanini haikuwekwa majambia, bunduki au ata kifaru basi, tuko lege lege sana
Bavicha shida mnayo.
 
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums.

Ndugu zangu watanzania eti;

Nini haswa huunda bendera ya taifa fulani? Uwepo wa rangi zote katika bendera hiyo au pia mpangilio wa rangi hizo husika? What makes a national flag?

View attachment 1590341

(1) Ukichanganya rangi zile zile katika "locations" tofauti tofauti bado itaitwa ni bendera ya taifa?

(2) Katika rangi zote ikikosekana moja wapo bado itabaki kuwa ni bendera ya taifa.

(3) Hiyo picha hapo juu tunaweza kuiita kuwa ni bendera ya taifa ilhali rangi ya blue ipo juu badala ya kuwa chini?

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
umuhimu wa bendera siuoni
 
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums.

Ndugu zangu watanzania eti;

Nini haswa huunda bendera ya taifa fulani? Uwepo wa rangi zote katika bendera hiyo au pia mpangilio wa rangi hizo husika? What makes a national flag?

View attachment 1590341

(1) Ukichanganya rangi zile zile katika "locations" tofauti tofauti bado itaitwa ni bendera ya taifa?

(2) Katika rangi zote ikikosekana moja wapo bado itabaki kuwa ni bendera ya taifa.

(3) Hiyo picha hapo juu tunaweza kuiita kuwa ni bendera ya taifa ilhali rangi ya blue ipo juu badala ya kuwa chini?

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Lissu hakuna kitu hata kimoja anaweza kuwa mbele ya Magufuli. Kipigo atachopewa October anaweza kuwachukia Watanzania wote.
 
Back
Top Bottom