Sio kweli,nyimbo ikifungiwa haitakiw hata kupigwa mtaani,..kaskilize vzur Basata walisemaje kuhusu nyegeziNyimbo ukifungiwa.. n kuwa inafungiwa kupigwa katika media TV na RADIO na sio mtaani
Kwenye media tu nadhani maana mtaani kuanzia bodaboda,daladala na bajaji nikama kawaidaNadhani BASATA they dont mean what they say, and say what they dont mean!
Tatizo ni wimbo usiimbwe na watungaji au usisike katika jamii? Maana kweye mabaa, music studios, maharusini, vyombo vya usafiri kote ni nyege nyegezi....
Hivi action ya BASATA kukagua wimbo na ku-censor inaanzia hatua gani? BEFORE, DURING or AFTER wimbo kutoka?
basata haiwez regulate mtaaa ata siku moja. Ndo mana inadeal na major outletSio kweli,nyimbo ikifungiwa haitakiw hata kupigwa mtaani,..kaskilize vzur Basata walisemaje kuhusu nyegezi
Sent from my SM-G920P using Tapatalk
Mzee kama vitu hujui nyamaza, unadhani kwanini wasafi festival ilifungiwa?Nyimbo ukifungiwa.. n kuwa inafungiwa kupigwa katika media TV na RADIO na sio mtaani
Hujaelewa,basata ikifungia nyimbo,basi hiyo ngoma inafungwa hadi mtaani,sasa basata haifanyi kazi peke yake.basata haiwez regulate mtaaa ata siku moja. Ndo mana inadeal na major outlet