Nadhani BASATA they dont mean what they say, and say what they dont mean!
Tatizo ni wimbo usiimbwe na watungaji au usisike katika jamii? Maana kweye mabaa, music studios, maharusini, vyombo vya usafiri kote ni nyege nyegezi....
Hivi action ya BASATA kukagua wimbo na ku-censor inaanzia hatua gani? BEFORE, DURING or AFTER wimbo kutoka?
Tatizo ni wimbo usiimbwe na watungaji au usisike katika jamii? Maana kweye mabaa, music studios, maharusini, vyombo vya usafiri kote ni nyege nyegezi....
Hivi action ya BASATA kukagua wimbo na ku-censor inaanzia hatua gani? BEFORE, DURING or AFTER wimbo kutoka?