Nini hatima ya Ofisi ya Spika iliyojengwa Urambo?

kweli mkuu
 
Naambiwa ni ofisi ya MBUNGE
 
Duuh Kikwete nae sijui alikua anafikiria nini kwenda kuzindua hii ofisi? looh!!
 
makaburi yasifukuliwe, itahuzunisha kuimamifupa, na wa kuyafukia hayupo!
 
Nachoka kuwaza matumizi na tija ya kuwepo kwa hiyo ofisi kule Urambo. Hivi alioidhinisha ule ujenzi alikua na akili ya kufikiri vya kutosha kweli?

Iundwe sheria itakayotumika pindi mtu au watu wanapofanya makosa pindi wawapo na madaraka ya kutoa maamuzi ya jambo flani likija kugundulika lilifanywa kinyume cha sheria au kifisadi au kwa interest flani basi wahusika wachukuliwe hatua.
 
zimekuwa ofisi za ma VEO, WEO na ofisi za CCM hata Tanesco na maji, Ofisa kilimo, mifugo wapo hapo. in
 
Kuna mmoja anajenga uwanja wa ndege wa kimataifa huko kijijini kwao hana tofauti na huyu.
 
Spika wa kudumu!
Akili za African leaders!

Hajui kesho hayupo,hata airport anaweza weka kijijini kwake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…