Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
Ndege ziende huko bila abiria. Kile cha Mpanda nasikia vijana wanafanyia mazoezi ya mpira. Sijui ni porojo?
Nafkiri upembuzi yakinifu haukufanyika.
Hivi mpanda unapeleka commercial charter,ama Chato,unapandisha watu,watalii ama kitu gani?
Okay,watu wenyewe hawarusi kwao wakishafika mjini?
Bora wachagga wao wanarudi kwao