Nini hatima ya wafuasi wa CHADEMA katika mpira wa Tanzania ?

Nini hatima ya wafuasi wa CHADEMA katika mpira wa Tanzania ?

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Baada ya tukio la hivi karibuni la timu za Simba, Yanga na Azama kushiriki kikamilifu katika siasa za kuiunga mkono CCM katika mkutana mkubwa wa UVCCM kupitia wasemaji wao rasmi wa timu , Je wanachama, wafuasi na wapenzi wa CHADEMA wanapaswa kuchukua hatua gani?
 
Mpira haunaga chama cha siasa kijana... ni dalili za kuhaha haha kwa CCM baada ya kuona kila kuti lishakauka ndo wanajaribu kukimbilia hili la Mpira wa pendwa wa miguu kujaribu ahueni.

Sheria za FIFA zipo wazi kabisa kwa mambo haya na chama langu Wekundu wa Msimbazi lipo makini sana kujiingiza kwemye mitego ya kijinga.
 
..hilo tukio limeshapita na watu wataendelea na maisha na siasa zao.

..maisha magumu, umasikini, ukosefu wa ajira, kodi na tozo kausha-damu, kila Mtanzania sasa anajua ni matokeo ya uongozi mbovu wa Ccm.
 
Mpira haunaga chama cha siasa kijana... ni dalili za kuhaha haha kwa CCM baada ya kuona kila kuti lishakauka ndo wanajaribu kukimbilia hili la Mpira wa pendwa wa miguu kujaribu ahueni.

Sheria za FIFA zipo wazi kabisa kwa mambo haya na chama langu Wekundu wa Msimbazi lipo makini sana kujiingiza kwemye mitego ya kijinga.
Sijakuelewa mkuu
 
Baada ya tukio la hivi karibuni la timu za Simba, Yanga na Azama kushiriki kikamilifu katika siasa za kuiunga mkono CCM katika mkutana mkubwa wa UVCCM kupitia wasemaji wao rasmi wa timu , Je wanachama, wafuasi na wapenzi wa CHADEMA wanapaswa kuchukua hatua gani?
Katiba mpya ! Hayo mambo ya mpira ni hooliganism, let us concentrate on the future of our kids.
 
Baada ya tukio la hivi karibuni la timu za Simba, Yanga na Azama kushiriki kikamilifu katika siasa za kuiunga mkono CCM katika mkutana mkubwa wa UVCCM kupitia wasemaji wao rasmi wa timu , Je wanachama, wafuasi na wapenzi wa CHADEMA wanapaswa kuchukua hatua gani?
Hizo timu zina wachezaji wageni hivyo kuwahushisha kwenye siasa za Tanzania ni kosa kisheria.
 
Kwani si ndo hao hao mashabiki wanaingiaga uwanjani na mabango yenye picha ya Samia wakimsifia anaupiga mwingi
 
Baada ya tukio la hivi karibuni la timu za Simba, Yanga na Azama kushiriki kikamilifu katika siasa za kuiunga mkono CCM katika mkutana mkubwa wa UVCCM kupitia wasemaji wao rasmi wa timu , Je wanachama, wafuasi na wapenzi wa CHADEMA wanapaswa kuchukua hatua gani?
Wana hatua zipi tunawaona benjamini mkapa wanabeba picha za samia na kushangilia mil 10 kila goli!
 
Hawakwenda pale kwa shughuli za timu lakini uccm wao na maokoto waliyo tajiwa, lakini siku wakipeleka timu kwenye shughuli zao za vyama hapo ndio hata sisi tusio shabikia vyama vya siasa itabidi tuhoji kwa nguvu
 
Baada ya tukio la hivi karibuni la timu za Simba, Yanga na Azama kushiriki kikamilifu katika siasa za kuiunga mkono CCM katika mkutana mkubwa wa UVCCM kupitia wasemaji wao rasmi wa timu , Je wanachama, wafuasi na wapenzi wa CHADEMA wanapaswa kuchukua hatua gani?
Waunde timu zao.....😂😂😂
 
Baada ya tukio la hivi karibuni la timu za Simba, Yanga na Azama kushiriki kikamilifu katika siasa za kuiunga mkono CCM katika mkutana mkubwa wa UVCCM kupitia wasemaji wao rasmi wa timu , Je wanachama, wafuasi na wapenzi wa CHADEMA wanapaswa kuchukua hatua gani?
Nakuhakikishia kwamba walioshiriki huo uchafu ni Wasemaji wa hizo timu, wala siyo Timu zenyewe, timu ni watu

Nakung'ata sikio, KUTEKWA KWA MO KULISABABISHWA NA YEYE KUTAKA KUJIUNGA NA CHADEMA, kama hizo timu ni ccm haya yangekujaje?

Freeman Mbowe amewahi kuwa mfadhili wa Yanga kupitia Club Bilicanas, sijui kama unalijua hili

Fuatilia sakata la viwanda vya Chai vinavyomhusu MO, nathibitisha Simba na Yanga siyo matawi ya ccm

Utajua hujui
 
Hawakwenda pale kwa shughuli za timu lakini uccm wao na maokoto waliyo tajiwa, lakini siku wakipeleka timu kwenye shughuli zao za vyama hapo ndio hata sisi tusio shabikia vyama vya siasa itabidi tuhoji kwa nguvu
Ndio wanakoelekea.
 
Baada ya tukio la hivi karibuni la timu za Simba, Yanga na Azama kushiriki kikamilifu katika siasa za kuiunga mkono CCM katika mkutana mkubwa wa UVCCM kupitia wasemaji wao rasmi wa timu , Je wanachama, wafuasi na wapenzi wa CHADEMA wanapaswa kuchukua hatua gani?
Watulie tu wapambane na hali zao kwani lazima
 
Baada ya tukio la hivi karibuni la timu za Simba, Yanga na Azama kushiriki kikamilifu katika siasa za kuiunga mkono CCM katika mkutana mkubwa wa UVCCM kupitia wasemaji wao rasmi wa timu , Je wanachama, wafuasi na wapenzi wa CHADEMA wanapaswa kuchukua hatua gani?
Ccm wameshazipotezea siasa mvuto, sasa wameona warukie kwenye soka ambako kuna hamasa. Kwa bahati mbaya watu wameshaikinai ccm, sana sana watu wanachofanya ni kuchota hizo pesa za majizi wakijiafanya wako nao. Lakini wakati wa uchaguzi ndio watajua watu wameshazipotezea siasa muda mrefu.
 
Back
Top Bottom