acha unafki.
Kuna kipindi ulikuja na sera kuwa wewe ni mwanafunzi wa TATAKI, kile kipindi jamaa wanalilia uwandani. Mkuu 'mphamvu', ambaye yuko banned kwa sasa, akakuomba mfahamiane ukatoa nje.
Au sio wewe?
Sasa hizo guts za kuniomba miadi mimi unazipata wapi?
Anyways, tunajua kuwa wewe ni kibaraka unaetumiwa na hao 'wenye uhai watatu' i.e. Mabhoko, Mgaya na 'The man himself'...
Unatumika very cheaply mdogo wangu, na hako kadhambi ka usaliti katakuhunt till the end of time, ungekuwa raia mwema sana ungekuwa kipaumbele kupigania mazingira bora ya kusoma hapo 'State University', sio kuwa mbele kutaja majina ya wagomaji...
Kwanza hata majina yenyewe huyafahamu, hujui kama kijicho anaitwa Baraka...
Umasikini wa mwili na roho ndio unaokusumbua, ila siku nitakayokuweka mikononi,
u're sucked big time bro!