Nini hatma ya Halima Mdee na wenzake 18 baada ya Tundu Lissu kuwa Mwenyekiti CHADEMA?

Nini hatma ya Halima Mdee na wenzake 18 baada ya Tundu Lissu kuwa Mwenyekiti CHADEMA?

ubarinolutu

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2012
Posts
2,424
Reaction score
4,954
Kwanza kabisa nianze na Kumpongeza Tundu Lissu Kwa kuwa Mwenyekiti.

Pili niingine kwenye Mada, Wabunge 19 wa viti maalumu wa CHADEMA ambao walifukuzwa uanachama walipambana sana kuhakikisha wanatoa pesa na support ya kutosha kuhakikisha mtu wanayemsapoti anashinda.

Kwa sera mpya za Mwenyekiti Lissu kuwa ubunge vitu maalumu ni miaka 5 tu, je nini Hatma ya Wabunge Hawa ambao wengine ni wenzi wa viongozi wa zamani wa Chadema.

Nimesikia pia Wabunge hawa walikuwa washaongea na baadhi ya viongozi Ili kuangalia ni namna Gani watarudi Chadema na kupata nafasi ya kugombea au hata ya viti maalumu.

Pia inavyoonekana Mh. Lissu atagombea Urais wa TZ hivyo nafasi ya Urais itakuwa na mchuano mkali sana, vijana watanganyika mkajiandikishe kupiga kura

Pia soma
 
Nadh
Wahimizeni Vijana hasa Hawa 1990 ++ wakajiamdikishe Kwa wingi
Nadhani mwenyekiti Mpya Chadema hiyo iwe Agenda yake, mana Vijana wanajielewa SEMA tu wanapenda bongo fleva na umbea kuliko siasa, ila wakipata hamasa.
Pia Chadema ijaribu kudhamini wasanii wake wa bongo fleva wapya kabisa ambao Toka wanatoka wajulikane ni Chadema , wasanii na vijana wapo karibu sana
 
Kwanza kabisa nianze na Kumpongeza Tundu Lissu Kwa kuwa Mwenyekiti.

Pili niingine kwenye Mada, Wabunge 19 wa viti maalumu wa CHADEMA ambao walifukuzwa uanachama walipambana sana kuhakikisha wanatoa pesa na support ya kutosha kuhakikisha mtu wanayemsapoti anashinda.

Kwa sera mpya za Mwenyekiti Lissu kuwa ubunge vitu maalumu ni miaka 5 tu, je nini Hatma ya Wabunge Hawa ambao wengine ni wenzi wa viongozi wa zamani wa Chadema.

Nimesikia pia Wabunge hawa walikuwa washaongea na baadhi ya viongozi Ili kuangalia ni namna Gani watarudi Chadema na kupata nafasi ya kugombea au hata ya viti maalumu.

Pia inavyoonekana Mh. Lissu atagombea Urais wa TZ hivyo nafasi ya Urais itakuwa na mchuano mkali sana, vijana watanganyika mkajiandikishe kupiga kura

Pia soma
Wana option mbili, wa submit kwa lissu or wahamie ccm. Hakutokuwa na middle grounds
 
Achana na hayo ma single mother yaliyo shindikana, chama kinasukwa upya, nguvu kubwa iwekwe kanda ya ziwa ina wapiga kura wengi hatutaweza kuiangusha CHADEMA. Haya majizi tulisha yachoka
 
Kwanza kabisa nianze na Kumpongeza Tundu Lissu Kwa kuwa Mwenyekiti.

Pili niingine kwenye Mada, Wabunge 19 wa viti maalumu wa CHADEMA ambao walifukuzwa uanachama walipambana sana kuhakikisha wanatoa pesa na support ya kutosha kuhakikisha mtu wanayemsapoti anashinda.

Kwa sera mpya za Mwenyekiti Lissu kuwa ubunge vitu maalumu ni miaka 5 tu, je nini Hatma ya Wabunge Hawa ambao wengine ni wenzi wa viongozi wa zamani wa Chadema.

Nimesikia pia Wabunge hawa walikuwa washaongea na baadhi ya viongozi Ili kuangalia ni namna Gani watarudi Chadema na kupata nafasi ya kugombea au hata ya viti maalumu.

Pia inavyoonekana Mh. Lissu atagombea Urais wa TZ hivyo nafasi ya Urais itakuwa na mchuano mkali sana, vijana watanganyika mkajiandikishe kupiga kura

Pia soma
Lazimika kukubali uamuzi wa mahakama kuwa si wabunge wa Chadema, ukurasa ulikwisha fungwa na mahakama.
 
Kwanza kabisa nianze na Kumpongeza Tundu Lissu Kwa kuwa Mwenyekiti.

Pili niingine kwenye Mada, Wabunge 19 wa viti maalumu wa CHADEMA ambao walifukuzwa uanachama walipambana sana kuhakikisha wanatoa pesa na support ya kutosha kuhakikisha mtu wanayemsapoti anashinda.

Kwa sera mpya za Mwenyekiti Lissu kuwa ubunge vitu maalumu ni miaka 5 tu, je nini Hatma ya Wabunge Hawa ambao wengine ni wenzi wa viongozi wa zamani wa Chadema.

Nimesikia pia Wabunge hawa walikuwa washaongea na baadhi ya viongozi Ili kuangalia ni namna Gani watarudi Chadema na kupata nafasi ya kugombea au hata ya viti maalumu.

Pia inavyoonekana Mh. Lissu atagombea Urais wa TZ hivyo nafasi ya Urais itakuwa na mchuano mkali sana, vijana watanganyika mkajiandikishe kupiga kura

Pia soma
Waende ACT Wazalendo au CCM
 
Kwani huko hakuna Katiba Mpya Hadi asaini ambazo hazihusiki?
Unajua maana ya Executive Order?
Katiba yao ina vipengele vitatu fuatilia hivyo kwanza mkuu
Trump ametia saini Amri kadhaa zikiwemo Afya, uhamiaji, na mazingira na zinakuwa Sheria boss
 
Unajua maana ya Executive Order?
Katiba yao ina vipengele vitatu fuatilia hivyo kwanza mkuu
Trump ametia saini Amri kadhaa zikiwemo Afya, uhamiaji, na mazingira na zinakuwa Sheria boss
Kwani hapa Tanzania hizo hazipo? Magufuli akitumia nini kutoa amri ya marufuku ya mikutano au Magufuli day ya usafi?
 
Back
Top Bottom