Nini hatma ya Halima Mdee na wenzake 18 baada ya Tundu Lissu kuwa Mwenyekiti CHADEMA?

Nini hatma ya Halima Mdee na wenzake 18 baada ya Tundu Lissu kuwa Mwenyekiti CHADEMA?

Nawashangaa Machadema wanapotoleaga mifano ya hizo Nchi.

Huko USA hata Rais ana Kinga akiwa madarakani
Mimi sio chadema wala sipo huko
Nilipiga kura kuichagua Conservative na miaka yote nipo Conservative ila nachangia tu mada za nyumbani
Kwa Africa ukiwa mpinzani wanaona una lako jambo ila huku wanabadili kutokana na uwajibikaji
Labour hawatachukua tena wananchi wamejifunza kitu
Haya Mkuu acha nipambane kwani huku bado mapema
 
Baada ya matokeo naona Mbowe hapigi makofi tena!
 
Kile kichaka kidogo sana kilichokuwa kimebakia ndani ya Chadema cha kuwalinda, kuwatunza na kuwatia faraja wabunge wa Covid 19 na mabwana zao kwa sasa kimefyekwa na kuangamizwa kwa moto mkali kufuatia ushindi wa Tundu Lissu.

Muda ndio huu sasa wa Halima Mdee, Esther Matiko, Benson Kigaila, Salum Mwalimu nk kuanza kubeba mabegi ili kujiandaa kuhamia rasmi CCM.
 
Covid 19 ni bore waelekee ACT, ndio best place for them kwa sasa hivi.
 
Kwanza kabisa nianze na Kumpongeza Tundu Lissu Kwa kuwa Mwenyekiti.

Pili niingine kwenye Mada, Wabunge 19 wa viti maalumu wa CHADEMA ambao walifukuzwa uanachama walipambana sana kuhakikisha wanatoa pesa na support ya kutosha kuhakikisha mtu wanayemsapoti anashinda.

Kwa sera mpya za Mwenyekiti Lissu kuwa ubunge vitu maalumu ni miaka 5 tu, je nini Hatma ya Wabunge Hawa ambao wengine ni wenzi wa viongozi wa zamani wa Chadema.

Nimesikia pia Wabunge hawa walikuwa washaongea na baadhi ya viongozi Ili kuangalia ni namna Gani watarudi Chadema na kupata nafasi ya kugombea au hata ya viti maalumu.

Pia inavyoonekana Mh. Lissu atagombea Urais wa TZ hivyo nafasi ya Urais itakuwa na mchuano mkali sana, vijana watanganyika mkajiandikishe kupiga kura

Pia soma
Hapo walipo pampers zinabadilishwa kila baada ya lisaa limoja. Huyo Simba wa CDM si wa mchezo mchezo... wana mlima mrefu unless kama watubu na wawaangukie wajumbe mambo yaende
 
Nadh

Nadhani mwenyekiti Mpya Chadema hiyo iwe Agenda yake, mana Vijana wanajielewa SEMA tu wanapenda bongo fleva na umbea kuliko siasa, ila wakipata hamasa.
Pia Chadema ijaribu kudhamini wasanii wake wa bongo fleva wapya kabisa ambao Toka wanatoka wajulikane ni Chadema , wasanii na vijana wapo karibu sana
Tanzanaa
Sasa mkuu mara unakataa mara unakubali
Rais ana mamlaka makubwa sana
Na wengi huwa Dictators kama Nyerere alivosema
Uwe na siku njema
Tanzania IPO president circular, ndo kama hiyo executive order, nadhani mtaiona Lissu akiingia madarakani mwezi wa 10
 
Kwanza kabisa nianze na Kumpongeza Tundu Lissu Kwa kuwa Mwenyekiti.

Pili niingine kwenye Mada, Wabunge 19 wa viti maalumu wa CHADEMA ambao walifukuzwa uanachama walipambana sana kuhakikisha wanatoa pesa na support ya kutosha kuhakikisha mtu wanayemsapoti anashinda.

Kwa sera mpya za Mwenyekiti Lissu kuwa ubunge vitu maalumu ni miaka 5 tu, je nini Hatma ya Wabunge Hawa ambao wengine ni wenzi wa viongozi wa zamani wa Chadema.

Nimesikia pia Wabunge hawa walikuwa washaongea na baadhi ya viongozi Ili kuangalia ni namna Gani watarudi Chadema na kupata nafasi ya kugombea au hata ya viti maalumu.

Pia inavyoonekana Mh. Lissu atagombea Urais wa TZ hivyo nafasi ya Urais itakuwa na mchuano mkali sana, vijana watanganyika mkajiandikishe kupiga kura

Pia soma
Wengime wataanua virago na kubisha hodi mboga mboga rasmi na sio tena kama wageni wqalikwa
 
Wale hawarudi chadema, wakimaliza term za ubunge wapo watateuliwa vyeo na ccm wapo wataachwa, lakini chadema hawarudi.
 
Back
Top Bottom