Nini hatma ya Mkataba wa Lulu na Azam TV?

Sina hakika lulu alikaa ndani miezi mingapi

swala la kwamba aliwahi kukaa ndani miezi kadhaa wakati wa upelelezi,

wakili wake alipaswa wakati wa maombolezo,amuelezee Mh Jaji

kabla hajatoa hukumu yake azingatie ya kwamba mteja wake

amekwisha kukaa ndani kwa muda fulani,....kama wakili alikaa

kimya jaji anakuchapa kifungo chake, swali la mwisho mfungwa

anatakiwa atumikie 1/3 ya kifungo chake anafanyiwa remission

ya 1/3 ya kifungo kwa mfano mtu aliyefungwa miaka miwili mathalan lulu

anapunguziwa miezi nane hivyo atatakiwa kutumikia mwaka

mmoja na miezi minne, BUT jambo la msingi la ku NOTE ni kwamba

lulu ana qualify kuomba kifungo mbadala community service

atumikie adhabu yake akiwa nje akifanya shughuli za kijamii

atakazopangiwa ...kwa hivyo miezi mitatu minne ijayo akiwa nje

msishtuke....kuna baadhi ya makosa likiwepo lake ukifungwa

chini ya miaka mitatu sheria inakuruhusu kuomba uitumikie

jamii.
 
Majay atamuoa
 
Reactions: ovi
Mkataba utaendelea kuwa pale pale mpaka utakapo Isha mda wake na atapokea kama kawaida mpunga wake. Hiyo ndio sheria
Si kweli. Hataweza kutimiza majukumu yake kwenye mkataba hivyo hawawezi kumlipa!
Atafanya nini akiwa gerezani? Mkataba umekufa natural death!
 
Kwenye mitigation, watakuwa wamefikiria muda aliokaa mahabusu ndiyo akahukumiwa miaka miwili. Nawaza tu!
 
the contract has been frustrated...and became impossible to be perfomed as agreed.

It has died a natural death.
 
NI mkataba wa nini?!

Kama kuna tamthilia inarushwa na Lulu ni mmoja wa waigizaji, hilo ni jambo jepesi sana kwa sababu miaka 2, and possibly one year sio muda mrefu!!!

Wanaweza ku-twist plotting zikaingizwa scenes zinazopelekea Character ya Lulu kufungwa na wakati anatoka, kukawa na mwendelezo wake!! Hapa issue sio pesa bali ni namna gani Character ya Lulu unaweza kuitoa au kui-replace kwenye tamthilia husika na ika-make sense!
 
Reactions: ovi
Sasa mbunye inahusika vp hapo kwenye mkataba. Mbunye ni mbunye tu sijakataa kama atafanywa hivyo ila mm nimeelezea kiuchache sheria ya mkataba wake. Mambo ya mbunye atajua yy na hayapo katika mkataba.
Kuna kitu kinaitwa tafrani au frustration Kiki kifungu namba 62,sheria ya mikataba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…