Nini hatma ya Mkataba wa Lulu na Azam TV?

Nini hatma ya Mkataba wa Lulu na Azam TV?

wanasheria naomba mnifafanunulie vitu viwili, mtu akihukumiwa kifungo jela ilihali alishakaa mahabusu lets say 6 months, ile miezi huwa inatolewa kwenye ile 2 years? la pili, hii issue ya jela asubuhi na mchana kuwa ni siku mbili tofauti is it true?

la mwisho lulu alishakaa mahabusu miezi mingapi?
Sina hakika lulu alikaa ndani miezi mingapi

swala la kwamba aliwahi kukaa ndani miezi kadhaa wakati wa upelelezi,

wakili wake alipaswa wakati wa maombolezo,amuelezee Mh Jaji

kabla hajatoa hukumu yake azingatie ya kwamba mteja wake

amekwisha kukaa ndani kwa muda fulani,....kama wakili alikaa

kimya jaji anakuchapa kifungo chake, swali la mwisho mfungwa

anatakiwa atumikie 1/3 ya kifungo chake anafanyiwa remission

ya 1/3 ya kifungo kwa mfano mtu aliyefungwa miaka miwili mathalan lulu

anapunguziwa miezi nane hivyo atatakiwa kutumikia mwaka

mmoja na miezi minne, BUT jambo la msingi la ku NOTE ni kwamba

lulu ana qualify kuomba kifungo mbadala community service

atumikie adhabu yake akiwa nje akifanya shughuli za kijamii

atakazopangiwa ...kwa hivyo miezi mitatu minne ijayo akiwa nje

msishtuke....kuna baadhi ya makosa likiwepo lake ukifungwa

chini ya miaka mitatu sheria inakuruhusu kuomba uitumikie

jamii.
 
Kesi inaweza kumpata kessy, upo sawa!
Hakuna chuki ya jumla as compared to chuki binafsi.

Kwenye siasa wakihukumiwa kifungu kuna privilege za kisiasa huota mbawa.

Huyu Womanslaughter keshaji scrap mwenyeeewe!

Ataishia kugegedwa mashavu ya mbu. nye yawe lepelepe.

Hakuna mwanaume wa kupanga maisha na muuaji.
Majay atamuoa
 
  • Thanks
Reactions: ovi
Mkataba utaendelea kuwa pale pale mpaka utakapo Isha mda wake na atapokea kama kawaida mpunga wake. Hiyo ndio sheria
Si kweli. Hataweza kutimiza majukumu yake kwenye mkataba hivyo hawawezi kumlipa!
Atafanya nini akiwa gerezani? Mkataba umekufa natural death!
 
wanasheria naomba mnifafanunulie vitu viwili, mtu akihukumiwa kifungo jela ilihali alishakaa mahabusu lets say 6 months, ile miezi huwa inatolewa kwenye ile 2 years? la pili, hii issue ya jela asubuhi na mchana kuwa ni siku mbili tofauti is it true?

la mwisho lulu alishakaa mahabusu miezi mingapi?
Kwenye mitigation, watakuwa wamefikiria muda aliokaa mahabusu ndiyo akahukumiwa miaka miwili. Nawaza tu!
 
the contract has been frustrated...and became impossible to be perfomed as agreed.

It has died a natural death.
 
NI mkataba wa nini?!

Kama kuna tamthilia inarushwa na Lulu ni mmoja wa waigizaji, hilo ni jambo jepesi sana kwa sababu miaka 2, and possibly one year sio muda mrefu!!!

Wanaweza ku-twist plotting zikaingizwa scenes zinazopelekea Character ya Lulu kufungwa na wakati anatoka, kukawa na mwendelezo wake!! Hapa issue sio pesa bali ni namna gani Character ya Lulu unaweza kuitoa au kui-replace kwenye tamthilia husika na ika-make sense!
 
  • Thanks
Reactions: ovi
Sasa mbunye inahusika vp hapo kwenye mkataba. Mbunye ni mbunye tu sijakataa kama atafanywa hivyo ila mm nimeelezea kiuchache sheria ya mkataba wake. Mambo ya mbunye atajua yy na hayapo katika mkataba.
Kuna kitu kinaitwa tafrani au frustration Kiki kifungu namba 62,sheria ya mikataba.
 
Back
Top Bottom