That's rightUnafahamu kwamba unaweza kutoa mfano wa uliloliona wewe mwenyewe halafu mfano wako ukawa si thabiti?
Hivi yule ni muba
Kwa hiyo hiyo definition yako ya mfano thabiti imepwaya, unakubali hilo?That's right
Ni kweli hutokea sana
Kutegemea na mazingira
Haiwezi kupwaya mkuu ni kawaida kwa kila Definition/taaluma/nadharia ina kuanzia 0.5 ya erra ipo hivyo hakuna perfect 100%Kwa hiyo hiyo definition yako ya mfano thabiti imepwaya, unakubali hilo?
Definition yako imefikisha asilimia ngapi kati ya 100 na umejuaje hilo?Haiwezi kupwaya mkuu ni kawaida kwa kila Definition/taaluma/nadharia ina kuanzia 0.5 ya erra ipo hivyo hakuna perfect 100%
mubahn professional barberyule wa e news anaitwa dulamuba uwa anawahoj wa2 enewz ya sam misago
Sorry-catch you soon bro!Definition yako imefikisha asilimia ngapi kati ya 100 na umejuaje hilo?
Of course, of course.Sorry-catch you soon bro!
Sorry-catch you soon bro!
Salama was at Citi and BOT halafu sijamsikia tena.
Tulikuwa tunasoma na mtoto wa rais mpaka hatuamini kama huyu mtoto wa rais alivyokuwa low key.
Pale kulikuwa na home training fulani na mambo ya dini dini kiaina inacheza.
Byach ni yule aliyekuzaa binadamu usiye na common sense. Unaishi maisha ya vitabuni. Poor you!Don't get me started with that, you will derail this byach.
I keep planets in orbit.
Mimi sioni shida ipo wapi. Kuna kitu kinaitwa audience. Kipindi kina target audience fulani kwa hiyo if you are not part of that audience huwezi kukielewa. Ni kipindi ambacho hakitakiwi kuwa very formal ni kama mnakuwa mnapiga tu stori fulani za kitaa nafikiri ndo dhana yake kuu. Si unajua mkiwa saloon kuna stori zinaweza zikawa zinaendelea. Kwa hiyo wao wanachofanya wanaleta celebrities na kupiga nao stori kikawaida ndo mantiki ya kipindi kizima. Hakitakiwi kuwa serious sana ndo maana wakawaweka hata hao presenters. Ni sawa na vipindi vingine vya TV kama Friday Night live na vinginenvyo.. Kama unnataka content kaangalie hivyo vya Jenerali Ulimwengu..Kila siku nakuja hapa ku share mahojiano na kadamnasi.
Kuna wanaoelewa.
On the real. Yule Salama wewe unamuona yupo poa tu anavyo present hivyo vipindi?
Yani mimi hata nikijitahidi kuwa overly generous and liberal somehow ana manage kunifanya nione kile kipindi kina entertain ujinga in a way that hata mtu anaye entertain ujinga (mfano mimi ninavyo entertain clown wa JF) ataona this is too much.
I am tempted to say ukiniwekea interview yoyote ya Salama kuna sehemu atakuwa kachemsha.
But that would be rather presumptuous of me.
Halafu nani anayeelewa hygiene anafanya interview huku ananyolewa nywele?
Nywele zikiingia mdomoni? Mimi kufanyiwa interview huku unanyolewa ni sawa na kufanyiwa interview huku unakula.
The very concept itself is ghetto.
But I bet there is a crowd for that.
Mkuu achana na huyo M.r Poor(kiranga) huyo ni mtumwa wa kifikra na kiakili. Most of them ni failure kabisa katika jamii zetu, Watu kama hao huishi maisha ya kukariri bila ku reflect na real environment.Byach ni yule aliyekuzaa binadamu usiye na common sense. Unaishi maisha ya vitabuni. Poor you!
ndo yule akimaliza anasema "Jamaal"?muba uwa anawahoj wa2 enewz ya sam misago
ye kazi yake ni kunyoa nywele za watu so hata mkasi isipokuwepo kazi yake iko palepale saluni.uyo john hakuwa na kaz yyt mkasi,binafsi nlikuwa simpend maswal yake yalikuwa hayana mbele wala nyma
Common sense ni nini?Byach ni yule aliyekuzaa binadamu usiye na common sense. Unaishi maisha ya vitabuni. Poor you!
1. Nimeongelea hayo yote ya audience, soma vizuri.Mimi sioni shida ipo wapi. Kuna kitu kinaitwa audience. Kipindi kina target audience fulani kwa hiyo if you are not part of that audience huwezi kukielewa. Ni kipindi ambacho hakitakiwi kuwa very formal ni kama mnakuwa mnapiga tu stori fulani za kitaa nafikiri ndo dhana yake kuu. Si unajua mkiwa saloon kuna stori zinaweza zikawa zinaendelea. Kwa hiyo wao wanachofanya wanaleta celebrities na kupiga nao stori kikawaida ndo mantiki ya kipindi kizima. Hakitakiwi kuwa serious sana ndo maana wakawaweka hata hao presenters. Ni sawa na vipindi vingine vya TV kama Friday Night live na vinginenvyo.. Kama unnataka content kaangalie hivyo vya Jenerali Ulimwengu..
Nadhani huo ni mtazamo wako na mimi nimetoa mtazamo wangu ambao upo tofauti..Ukiangalia hiyo statement itakuwa imetolewa katika mazingira ya mzaha sababu kama nilivyosema kipindi hakipo formal. Hivi unasemaje kuhusu kipindi kama daily show ambacho kinaendeshwa na Trevor Noah? Na nilivyoongelea kuhusu audience nilikuwa naongelea segmentation ya viewers. Kwa mtazamo wangu kipindi cha Barbershop kina target zaidi vijana wa urban na ni zaidi ya kijiwe cha stori ambacho kimekuwa TV show..Kwa hiyo they talk of random things kama mkiwa kwenye kijiwe cha mtaani.1. Nimeongelea hayo yote ya audience, soma vizuri.
2. Hata kwenye audience, kuna basic decorum, kama habari ya kusema machotara waoane wenyewe kwa wenyewe wakioana na weusi wataharibu weupe wao, ambayo mara nyingine haizingatiwi na kipindi, hii haina audience, ni basic decorum tu.