Nini hii inafanywa...Wanamibia wacharuka

Mi hata sishangai coz ndo kawaida ya mondi kufanya hivo, sasa nn kipya??
 
Diamond hii nyimbo ni yake hata hiyo version mnayosema ni original instrumental yake katengeneza laizer 😂😂 kwo WCB wamefanya yao
Hii instrumental ya sasa imeongezewa uzito zaidi wamepiga mpaka saxophone
 
wanajua kwamba daudi bashite ni mkuu wake?wanawajua TISS makirikiri walioko chini ya BASHITE?SHAURI ZENU NAMIBIA,WATU WASIOJULIKANA
Bashite kyuma tu.. Anawatisha wakuja wenzake. .. Omarion alimuambia Who the **** you think you are?
 
Kaamua kumdondoshea zari jumba bovu apotezee hili la kuiba song ya watu fala kweli namsubiria hapa hapa jf haiongopi miaka haichelewi
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]jamaa aliwahi piga mkwara Hadi gavana a Ghana sjui huko[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…