Maundumula
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 7,553
- 3,081
mfano poa. lakini na shaka kuna pesa ya arab ya oman na Kuwait ziko juu zaid ya $ nazinafanya poa. bado chumi zao ndogo ukilinganisaa na u s a
na hata wachina wa hindi. lakini pesa kama kuwait demand sio kubwa kama dola hem niweke sawa hapa mkuu?
Zitakuwa juu ki Unit tu lakini kwenye real value bado Dollar ipo juu.
Ni sawa na Tanzania leo tuamue tukate sufuri 3 inamaana sh 1000 itakuwa sh 1 hii haimaanishi kwamba thamani ya Tshs imekuwa dhidi ya dollar.
Ukitaka kufahamu kuhusu real exchange rate inabidi uangalie factors kama inflation na interest rate pia tazama BIG MAC Index.