Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,041
- 13,907
Wakuu,
Natumai mnaendelea vyema na mapambano dhidi ya kirusi huyu.Mungu atusaidie tulishinde hili jaribu.
Mimi ni mdau mzuri katika ufuatiliaji wa mambo ya uchumi.Napenda sana mambo ya uchumi. Japo sijasomea wala si mtaalamu huko.
Swali langu ni kuwa: Kwanini baadhi ya nchi zinakuwa na Stock Exchange zaidi ya moja? Mfano South Africa nafahamu tatu,na nchi kama Marekani wanazo nyingi nyingi hata nadhani nyingine zipo ndani ya mji mmoja..je,ni nini sababu nyuma ya hili? Au ni idadi kubwa ya makampuni?
Vipi Tz hatuwezi kuwa na Stock Exchange nyingine hata tukaiweka kwenye mji mwingine mkubwa? Halafu pia je,nchi zote duniani zina masoko ya hisa au kuna ambazo hazina?
Swali la mwisho,Naomba kujuzwa sababu zinazopelekea hisa za kampuni fulani kushuka au kupanda.
Karibuni wachumi.
Natumai mnaendelea vyema na mapambano dhidi ya kirusi huyu.Mungu atusaidie tulishinde hili jaribu.
Mimi ni mdau mzuri katika ufuatiliaji wa mambo ya uchumi.Napenda sana mambo ya uchumi. Japo sijasomea wala si mtaalamu huko.
Swali langu ni kuwa: Kwanini baadhi ya nchi zinakuwa na Stock Exchange zaidi ya moja? Mfano South Africa nafahamu tatu,na nchi kama Marekani wanazo nyingi nyingi hata nadhani nyingine zipo ndani ya mji mmoja..je,ni nini sababu nyuma ya hili? Au ni idadi kubwa ya makampuni?
Vipi Tz hatuwezi kuwa na Stock Exchange nyingine hata tukaiweka kwenye mji mwingine mkubwa? Halafu pia je,nchi zote duniani zina masoko ya hisa au kuna ambazo hazina?
Swali la mwisho,Naomba kujuzwa sababu zinazopelekea hisa za kampuni fulani kushuka au kupanda.
Karibuni wachumi.