Nini husababisha baadhi ya viongozi kuongea kwa hisia kali na uchungu wanapokuwa majukwaani wakihutubia?

Nini husababisha baadhi ya viongozi kuongea kwa hisia kali na uchungu wanapokuwa majukwaani wakihutubia?

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2013
Posts
38,920
Reaction score
44,970
Kuna baadhi ya viongozi wanapoongea huwa wanapenda kudhirisha kwamba wanamaanisha wanachokisema na sio mzaha mzaha, mfano muone huyu jamaa hapo kwenye video chini;

Mfano awe anasema “ole wako nikukute unakula pesa za umma..., nakutapisha zote hadi utapike na damu kabisa!!!”

Watumishi wa Umma watatafakari mara 2 kabla ya kufanya ufisadi.

 
Afu mbn jamaa anaonkn alikua mzalendo wa kweli ..mi naon km hil la kuwa gaidi alipandikizwa Iv
 
Afu mbn jamaa anaonkn alikua mzalendo wa kweli ..mi naon km hil la kuwa gaidi alipandikizwa Iv
Sisi hatuwezi kujua uhakika wa mambo, maana tunapewa hizi hadithi kupitia movies za mabeberu
 
Kuna baadhi ya viongozi wanapoongea huwa wanapenda kudhirisha kwamba wanamaanisha wanachokisema na sio mzaha mzaha
Wasanii tu hao,
Ni kama mademu wezi, wakati wa mgegedo wanalia kimahaba na machozi juu, ukijikunja kutoa wazungu, anakung'ong'a kwa nyuma, wakati huo umejaa na umeshatoa digits 3 za ATM, anavuta gap amalizie digit ya 4 mchezo uishe!!
 
kuna baadhi wanagonga toti 1/2/3 ya k-vant au don etc kisha wanapanda jukwaani kuongea

hata kule mjengoni kuna baadhi huwa wanafanya ivooo ili waongeapoo waoneshe wana hisia kali kumbe ulabuu
 
kuna baadhi wanagonga toti 1/2/3 ya k-vant au don etc kisha wanapanda jukwaani kuongea

hata kule mjengoni kuna baadhi huwa wanafanya ivooo ili waongeapoo waoneshe wana hisia kali kumbe ulabuu
Kama Kitwanga sio 😂😂
 
Ukweli ni kuwa huwezi kuongea kwa hisia Kali namna hii km unachoongea hakitoki moyoni kwako. Hawa ni wazalendo kweli kweli na ndio maana huwa hawaandiki hotuba wala kuandikiwa kwani wanaamini ktk yale yanaoujaza moyo wao.
Rest In Power Magufuli!
 
Hitler Alikua propagandist mzuri sana, unafikiri aliwezaje kupandikiza chuki kwa watu hadi majirani wakachukiana!!! Alikua na wizara ya propaganda kabisa.
 
Sisi hatuwezi kujua uhakika wa mambo, maana tunapewa hizi hadithi kupitia movies za mabeberu
Huyu Jamaa alikuwa mtu poa ila ushenzi aliofanyia wayahudi uliondoa uzuri wake wote pamoja na tabia yake ya kupiga na kuteka nchi dhirani.angetulia a kujenga nGermany angekuwa mtu poa tu.hata hotua zake ungeta zinatafsiriwa na kusomwa.
 
Hitler Alikua propagandist mzuri sana, unafikiri aliwezaje kupandikiza chuki kwa watu hadi majirani wakachukiana!!! Alikua na wizara ya propaganda kabisa.
Just like the nigger who used the propaganda of uzalendo na wanyonge. He is such a hooligan.
 
Back
Top Bottom