Je, nguvu ipo?Shukran sana. Nilitaka mwanga tu maana wataalam hawachelewi kukuambia agiza engine.
Inawezekana uwiano wa hewa na mafuta yasiwe sawa...Wakuu, nn kinaweza sababisha gari kutoa moshi mwingi wakati unawasha gari? Hili tatizo limeanza karibuni, haikuwa na hiyo Tabia, moshi ni mwingi sana huwezi kupaki ukaja kuwasha mbele ya watu. Itakuaibisha maana utadhani inaungua. Ukianza kuendesha unaisha au unabaki kidogo. Moshi ni mweupe.
Gari ni ya petrol, v6 ingine.
Oil itakuwa inaingia kwenye combustion chamber. Ama Piston rings zimeisha.Wakuu, nn kinaweza sababisha gari kutoa moshi mwingi wakati unawasha gari? Hili tatizo limeanza karibuni, haikuwa na hiyo Tabia, moshi ni mwingi sana huwezi kupaki ukaja kuwasha mbele ya watu. Itakuaibisha maana utadhani inaungua. Ukianza kuendesha unaisha au unabaki kidogo. Moshi ni mweupe.
Gari ni ya petrol, v6 ingine.
hamna shaka mkuu, anzia hapoShukran mkuu. Ninapanga kumpa fundi kesho ss nlitaka kupata hint ili nifananishe na atakachonieleza.
Mara nyingi inakuwa hivyo kama valve seal zimechoka unakuta gari inawaka inatoa moshi kama inatumia makaa ya mawe asbh na baada ya hapo hukata au na hata nyakati za mchana hutoa moshi mwembamba,na ikiwa ring zimechoka utaona moshi karibu muda wote gari ikiwa on na pia nguvu hupungua na hata oil kuiona nyuma ya bomba la moshi pia hupunguza level ya oil wacheki hizo seal kwanza kabla ya ring.Yaa, nguvu ipo na haina miss
Yaani hii ndo tabia yake asubuhi. Asante sana.Mara nyingi inakuwa hivyo kama valve seal zimechoka unakuta gari inawaka inatoa moshi kama inatumia makaa ya mawe asbh na baada ya hapo hukata au na hata nyakati za mchana hutoa moshi mwembamba,na ikiwa ring zimechoka utaona moshi karibu muda wote gari ikiwa on na pia nguvu hupungua na hata oil kuiona nyuma ya bomba la moshi pia hupunguza level ya oil wacheki hizo seal kwanza kabla ya ring.
Wazee slow downWakuu, nn kinaweza sababisha gari kutoa moshi mwingi wakati unawasha gari? Hili tatizo limeanza karibuni, haikuwa na hiyo Tabia, moshi ni mwingi sana huwezi kupaki ukaja kuwasha mbele ya watu. Itakuaibisha maana utadhani inaungua. Ukianza kuendesha unaisha au unabaki kidogo. Moshi ni mweupe.
Gari ni ya petrol, v6 ingine.
Gari inaochanganya maji moshi mweupe ndo hivi.. if waona hivi hili ni tatizoWazee slow down
Gari haina shida ni mvuke tu...
Referer picGari inaochanganya maji moshi mweupe ndo hivi.. if waona hivi hili ni tatizo
Yaa ndo hivi mkuu. Ukiwasha esp baada ya gari kutoa.Referer picView attachment 1536436
Io nenda kwa fundiYaa ndo hivi mkuu. Ukiwasha esp baada ya gari kutoa.
Mrejesho. Tatizo lilikua nini.Halimalizi mkuu. Lenyewe linasubiri ukiwa umepaki esp kwenye umati ukiwasha tu linafanya kama linaungua. Lipo kwa fundi tayari mkuu.