ighaghe
JF-Expert Member
- Mar 25, 2013
- 2,286
- 3,203
- Thread starter
- #21
Lilipona.Mrejesho. Tatizo lilikua nini.
Inaonekana kuna tube ilikuwa inapitisha mafuta ya brake kama sio maji kwenye chamber ya combustion mafuta ya petrol yakawa yanachomwa yakiwa yamechanganyika na mafuta ya brake/maji, sijajua ni nn kilisababisha hilo.
Kakitu fulani ka kijinga sana kaligharimu pesa nyingi almost 3m ila kalipogundulika ni Ile tube tu ikadhibitiwa tatizo likaisha.