Nini husababisha gari kutoa moshi mwingi sana wakati wa kuwasha?

Nini husababisha gari kutoa moshi mwingi sana wakati wa kuwasha?

Mrejesho. Tatizo lilikua nini.
Lilipona.

Inaonekana kuna tube ilikuwa inapitisha mafuta ya brake kama sio maji kwenye chamber ya combustion mafuta ya petrol yakawa yanachomwa yakiwa yamechanganyika na mafuta ya brake/maji, sijajua ni nn kilisababisha hilo.

Kakitu fulani ka kijinga sana kaligharimu pesa nyingi almost 3m ila kalipogundulika ni Ile tube tu ikadhibitiwa tatizo likaisha.
 
Back
Top Bottom