Nini husababisha hii kitu !!!

MWAMUNU

JF-Expert Member
Joined
Dec 17, 2011
Posts
860
Reaction score
519
Hi great thinkers!

Jamani kwa anejua anijuze kuna baadhi ya wanaume kucha zao zinakuwa kama vile zimepakwa hina
yaani unakuta nusu ya ukucha inakuwa na ile rangi ya kahawia,hii husababishwa na nini ?
naomba kuwasirisha.
 
Mi ninadhani inatokana na kuvaa viatu kwa muda mrefu, kwani hata mimi hiyo hali ninayo kwa kucha za miguuni unless uniambie kama ni za mikononi hapo sijui!
 
Mimi ni za mikononi na miguuni
 
Ni maumbile tu hakuna tatizo kuna rafiki yangu yeye ni mwanamke nakumbuka wakati tuko shule mwalimu alimpa adhabu akamwambia amepaka hina alilia na kujitetea kuwa kucha zake ndio zilivyo. mwisho mwalimu akampa kama miezi mitatu akawa anazikagua akifikiri kutakuwa na mabadiliko, lakini zileiendelea kuwa hivyohivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…