chardboy77
Member
- Aug 5, 2013
- 53
- 5
Habari za jioni wataalamu, napenda kujua ni nini husababisha maziwa ya mwanamke kulala. Je ni kweli kwamba kufanya mapenzi mara kwa mara ni moja kati ya sababu?
Naombeni msaada wa kitaalam plz
Habari za jioni wataalamu, napenda kujua ni nini husababisha maziwa ya mwanamke kulala. Je ni kweli kwamba kufanya mapenzi mara kwa mara ni moja kati ya sababu?
Naombeni msaada wa kitaalam plz
usingizi tu hakuna la zaidi
usingizi??? how
kwani wewe ukisikia usingizi unafanyaje ?
usingizi tu hakuna la zaidi
Habari za jioni
wataalamu, napenda kujua ni nini husababisha maziwa ya mwanamke kulala.
Je ni kweli kwamba kufanya mapenzi mara kwa mara ni moja kati ya sababu?
Naombeni msaada wa kitaalam plz
Gravitational Force.............
Huwa nalala tena sana sasa sijaona uhusiano hapo
maziwa yanapochoka kusimama yanalala hapo mpaka uyapige jeki
kwani wewe yako yapoje ?
Wachekesha wewe..ati usinginzi !usingizi tu hakuna la zaidi
yamelala usingiz wa saa tisa usikuπ‘π‘π‘