Nini husababisha maziwa kulala?

kwanini mnayajadili? kwani yaliyolala na yaliyosimama yote si yanafanikisha tendo la unyonyeshaji? kwa watoto na wakina baba au yana shughuli nyingine tuelezane? teh teh teh!
 
Ningemuelewa muuliza swali kama angeuliza kazi ya matiti yaliyoota kwa wanaume ki sayansi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…