Nini husababisha nyeti za mwanamke kuungua?

Nini husababisha nyeti za mwanamke kuungua?

Joto kali na majaladio nadhani ndo yanachangia kubabua ngozi zao. Hata sie wanaume inatokeaga sana hasa wakati wa joto
 
Moja ya mambo ambayo huwa nayo makini sana napokuwa na barafu wa moyo wangu ni kuangalia sehemu zake nyeti kwa umakini mkubwa. Huwa sometime napenda tu kumwona ameiachia wazi then mimi napaangalia hivi kama nacheck movie kwa umakini mkubwa hakika ni sehemu ya kupendeza sana.

Ndo maana huwa sipendi wanawake wenye aibu utakuta anaficha au anataka ulie gizani."nakumbuka ile stori ya miaka ile shule ya msingi bwana mmoja alilia gizani akala na konokono na haya mambo ya kulia gizani husababisha wengine wajikute wameingiza sehemu siyo yenyewe halafu mnalalamika wanaume wa siku hizi wanapenda kula nyota au jicho.

Swali ni kwanini unamkuta mdada mzuri tu na pengine mweupe ila sehemu yake nyeti inakuwa kama imeungua? Kuanzia kwenye mapaja huku mpaka kwenye makalio sababu huwa ni nini lakini? Maana jambo hili si kwa mtu mmoja ni zaidi ya watu mia moja nimeona hivyo mpaka najiuliza ina maana nanii huwa inasababisha yale maeneo yaungue? Je kuna namna ya kuondoa ule weusi maeneo hayo maana ni kama kumejenga usugu flani hivi.

Lakini pia na nyie dada zetu kiukweli mnadumbukiza mambo mengi sana.We unakuta mdada ana sabuni kama 5 za kuoshea K, ana mafuta ya kudumbukiza huko ndani kusukutua ana vitu vya kupachika na kupachua. Mara unaingizwa mkaratusi, mara mchaichai mara mkasiani, mu alo vera, mara inangizwa sijui sabuni ya kurudisha bikra, mtu toka ana miaka 15 anagegedwa leo anataka arudishe bikra ya nini? Why unaamua kuitesa papuchi yako kiasi hicho?

Wakati huo huo anaweka magadi soda humo ndani kwenye papuchi ili ibane.. mara anaivundika kwenye hamira ili iumuke, yaani mdada anashida na shida zina mdada hazimwachi. Hiyo K inavyosumbuliwa? Ni kuchokonolewa tu mpaka inafikia kipindi unakuta ipo wazi tu kwa mshangao maana ishasau hata kujifunga.

Halafu hapo mnakuja kusema sisi tuna vibamia kumbe mmeshachakachua uasili wa K mpaka sasa imebaki wazi tu imepigwa na bumbuwazi kwa mshangao.Nahisi hayo yanachangia kuunguza K pia na sehemu za mapaja mpaka nyuma ya makalio. je kuna dawa?
Umalaya au vitu vya baridi hasa macola haya
 
Huo weusi unaondolewa aiseee,siku ukikutana na mwenye weusi unitafute nikuelekeze jinsi ya kufanya huo weusi utoke
 
Msuguano wa mapaja, hali ya joto nchini, uvaaji wa nguo za kubana kuanzia vyupi hadi masuruali haya yakubana. Hizi ndio sababu zinachangia kuchubuka kusababisha muonekano kama ameungua.

Nashauri wanawake vaeni boxer na skirt/gauni/madira ili kutatua tatizo hili. Hewa inahitajika jamani joto limekuwa kali.
Boxer unataka wachubuke sasa wewe ule msuguano unaujua?
 
ha ha ha.. hapana hapa lengo ni kusaidiana tu mi siwezi acha mgegeda msichana sababu ya rangi ya huko............................
Mmmm kwakweli wewe ni GuDume haswa [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Back
Top Bottom