Nini husababisha wanawake kuwa wabinafsi kwenye mali

Nini husababisha wanawake kuwa wabinafsi kwenye mali

Azoge Ze Blind Baga

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2019
Posts
442
Reaction score
1,655
Kama mada inavyojieleza
Hivi ni nini hasa kinafanya wanawake kuwa wabinafsi kwenye suala zima la mali na mambo mengine kiuchumi?

Mfano mpo kwenye ndoa mke akiwa tu na kipato kikubwa kumzidi mume lazima ataleta ubinafsi katika umliki wa mali mlizochuma pamoja kisa tu yeye kachangia kikubwa.

Wakati mwanaume anaweza kuwa na uchumi mkubwa kumzidi mkewe lakini kwenye umiliki wa mali mfano nyumba anahesabu kama mali ya wote na anamshirikisha mke wake kwenye kila hatua ya maendeleo tofauti na wanawake wao wanafanya mambo peke yao bila kuwashirikisha waume zao

Najiuliza sana hii tabia ya hawa wanawake ya kujikweza na kujiona wanaweza kila kitu kisa tu wamewazidi uchumi waume zao.

Ukitaka kufa mapema mpe mtaji mkeo, oa mke mwenye kazi na uchumi mkubwa kukuzidi wewe mwanaume hakika hakuna rangi hutaacha kuiona.

Tuishi na kwa akili.
 
Kama mada inavyojieleza
Hivi ni nini hasa kinafanya wanawake kuwa wabinafsi kwenye suala zima la mali na mambo mengine kiuchumi?

Mfano mpo kwenye ndoa mke akiwa tu na kipato kikubwa kumzidi mume lazima ataleta ubinafsi katika umliki wa mali mlizochuma pamoja kisa tu yeye kachangia kikubwa.

Wakati mwanaume anaweza kuwa na uchumi mkubwa kumzidi mkewe lakini kwenye umiliki wa mali mfano nyumba anahesabu kama mali ya wote na anamshirikisha mke wake kwenye kila hatua ya maendeleo tofauti na wanawake wao wanafanya mambo peke yao bila kuwashirikisha waume zao

Najiuliza sana hii tabia ya hawa wanawake ya kujikweza na kujiona wanaweza kila kitu kisa tu wamewazidi uchumi waume zao.

Ukitaka kufa mapema mpe mtaji mkeo, oa mke mwenye kazi na uchumi mkubwa kukuzidi wewe mwanaume hakika hakuna rangi hutaacha kuiona.

Tuishi na kwa akili.
Kihistoria na kwa maumbile yao, wanawake sio bread winners, wao wanatakiwa kuolewa na kutunzwa na wanaume. Sasa ikitokea yeye ndio awe anatunza familia na kumtunza mume, ni lazima aone hivyo. Wewe mwanaume ni jukumu lako kutunza na kutafuta ustawi wa familia yako. Yeye sio jukumu lake zaidi ya kukusadia tu, ndio maana huwa wana kuwa hivyo.
 
Kama mada inavyojieleza
Hivi ni nini hasa kinafanya wanawake kuwa wabinafsi kwenye suala zima la mali na mambo mengine kiuchumi?

Mfano mpo kwenye ndoa mke akiwa tu na kipato kikubwa kumzidi mume lazima ataleta ubinafsi katika umliki wa mali mlizochuma pamoja kisa tu yeye kachangia kikubwa.

Wakati mwanaume anaweza kuwa na uchumi mkubwa kumzidi mkewe lakini kwenye umiliki wa mali mfano nyumba anahesabu kama mali ya wote na anamshirikisha mke wake kwenye kila hatua ya maendeleo tofauti na wanawake wao wanafanya mambo peke yao bila kuwashirikisha waume zao

Najiuliza sana hii tabia ya hawa wanawake ya kujikweza na kujiona wanaweza kila kitu kisa tu wamewazidi uchumi waume zao.

Ukitaka kufa mapema mpe mtaji mkeo, oa mke mwenye kazi na uchumi mkubwa kukuzidi wewe mwanaume hakika hakuna rangi hutaacha kuiona.

Tuishi na kwa akili.
ni nature yao, but then japokuwa wengine wamezidiana. Lakini pia itategemea na malezi na upendo wake
 
Kama mada inavyojieleza
Hivi ni nini hasa kinafanya wanawake kuwa wabinafsi kwenye suala zima la mali na mambo mengine kiuchumi?

Mfano mpo kwenye ndoa mke akiwa tu na kipato kikubwa kumzidi mume lazima ataleta ubinafsi katika umliki wa mali mlizochuma pamoja kisa tu yeye kachangia kikubwa.

Wakati mwanaume anaweza kuwa na uchumi mkubwa kumzidi mkewe lakini kwenye umiliki wa mali mfano nyumba anahesabu kama mali ya wote na anamshirikisha mke wake kwenye kila hatua ya maendeleo tofauti na wanawake wao wanafanya mambo peke yao bila kuwashirikisha waume zao

Najiuliza sana hii tabia ya hawa wanawake ya kujikweza na kujiona wanaweza kila kitu kisa tu wamewazidi uchumi waume zao.

Ukitaka kufa mapema mpe mtaji mkeo, oa mke mwenye kazi na uchumi mkubwa kukuzidi wewe mwanaume hakika hakuna rangi hutaacha kuiona.

Tuishi na kwa akili.
Fear of the unknown!
 
Kama mada inavyojieleza
Hivi ni nini hasa kinafanya wanawake kuwa wabinafsi kwenye suala zima la mali na mambo mengine kiuchumi?

Mfano mpo kwenye ndoa mke akiwa tu na kipato kikubwa kumzidi mume lazima ataleta ubinafsi katika umliki wa mali mlizochuma pamoja kisa tu yeye kachangia kikubwa.

Wakati mwanaume anaweza kuwa na uchumi mkubwa kumzidi mkewe lakini kwenye umiliki wa mali mfano nyumba anahesabu kama mali ya wote na anamshirikisha mke wake kwenye kila hatua ya maendeleo tofauti na wanawake wao wanafanya mambo peke yao bila kuwashirikisha waume zao

Najiuliza sana hii tabia ya hawa wanawake ya kujikweza na kujiona wanaweza kila kitu kisa tu wamewazidi uchumi waume zao.

Ukitaka kufa mapema mpe mtaji mkeo, oa mke mwenye kazi na uchumi mkubwa kukuzidi wewe mwanaume hakika hakuna rangi hutaacha kuiona.

Tuishi na kwa akili.
Sina hakika kama wapo humu, na wakiwepo utetezi wao utawasikia, sio wote ni baadhi yao, usiipendagi hii kauli aisee.
 
Mwanamume simama kama kichwa cha nyumba. Simama kama mume. Simama kama Baba wa familia. Gangamala, utakapojilegeza na kuanza kuhudumiwa na mkeo utakuwa umepoteza thamani yako kama mume,baba, kichwa. Kumbuka mkeo ni msaidizi na ni jukumu lako kumhudumia sio umuachie majukumu yako. Aliye mwanamume ameelewa.
 
Mwanamume simama kama kichwa cha nyumba. Simama kama mume. Simama kama Baba wa familia. Gangamala, utakapojilegeza na kuanza kuhudumiwa na mkeo utakuwa umepoteza thamani yako kama mume,baba, kichwa. Kumbuka mkeo ni msaidizi na ni jukumu lako kumhudumia sio umuachie majukumu yako. Aliye mwanamume ameelewa.
Mtoa mada hajaongelea suala la mume kuhudumiwa na mke anaongelea utayari wa ushirikiano kati ya mume na mke, mume anatoa kiroho safi akijua ni kwa ajiri ya ustawi wa familia lakini mwanamke anatoa kwa kinyongo. Ndio anauliza hii inatokana na nini?
 
Mtoa mada hajaongelea suala la mume kuhudumiwa na mke anaongelea utayari wa ushirikiano kati ya mume na mke, mume anatoa kiroho safi akijua ni kwa ajiri ya ustawi wa familia lakini mwanamke anatoa kwa kinyongo. Ndio anauliza hii inatokana na nini?

Mwanamke hakuumbwa kutoa bali kupokea ili aweze kutulia chini ya utawala wa mwamume. ukiruhusu atoe atataka atawale yeye. Usimruhusu akutawale.... msimtegemee atoe.
 
Kihasili mwanamke ni mbinafsi na tabia hii ya ubinafsi katika za za leo imekolezwa zaidi na nadharia ya ufeminia ambapo mwanamke kaaminishwa kwamba mwanaume ni adui na kikwazo kwake.

Bila shaka tunao wanafalsafa na wataalamu wa masuala ya ustawi wa jamii, labda wangetusaidia ku-brainstorm hili suala.
 
Mwanamke hakuumbwa kutoa bali kupokea ili aweze kutulia chini ya utawala wa mwamume. ukiruhusu atoe atataka atawale yeye. Usimruhusu akutawale.... msimtegemee atoe.
Ilo ni suala ambalo linajulikana, na ipo ipo tangu zama za nyuma lakini kuna msuguano ambao umeibuka katika zama za sasa.

Tupo katika zama za 50/50 mwanamke kapewa uhuru na access zote za kutafuta na tumeona wanawake wakifika hatua za juu zaidi ya wanaume mfano mzuri hapa nchini kwetu tuna Rais na Spika ambao ni wanawake.

Mnapokua ndoani wote mnatumia muda wa ndoa, kwa maana iyo kila mmoja anatakiwa kuleta output katika huo muda anaotumia sasa kusema kwamba mke atoke kutafuta halafu hapo hapo kipato chake kisihusishwe kwenye ustawi wa familia this is premier abuse of marriage time which a husband and wife are accountable to.
 
Ilo ni suala ambalo linajulikana, na ipo ipo tangu zama za nyuma lakini kuna msuguano ambao umeibuka katika zama za sasa.

Tupo katika zama za 50/50 mwanamke kapewa uhuru na access zote za kutafuta na tumeona wanawake wakifika hatua za juu zaidi ya wanaume mfano mzuri hapa nchini kwetu tuna Rais na Spika ambao ni wanawake.

Mnapokua ndoani wote mnatumia muda wa ndoa, kwa maana iyo kila mmoja anatakiwa kuleta output katika huo muda anaotumia sasa kusema kwamba mke atoke kutafuta halafu hapo hapo kipato chake kisihusishwe kwenye ustawi wa familia this is premier abuse of marriage tim
Hilo linajulikana wazi lakini halitendeki. Bado mioyo ya wanawake haifunguki kwa uwazi kusaidia ustawi wa familia, bado imekuwa na kinyongo cha kutoa. Kubali au kataa mwanamke akichangia lazima tu atalalamika au atataka ajione naye ni mtawala. Baadhi ya Waume wa wanawake wenye kipato kikubwa/madaraka wangekuja humu ungewahurumia. Na hii imeleta shida sana kwenye ndoa nyingi. Ukitaka kuishi kwa amani mwanamume simamia majukumu yako.
 
Hilo linajulikana wazi lakini halitendeki. Bado mioyo ya wanawake haifunguki kwa uwazi kusaidia ustawi wa familia, bado imekuwa na kinyongo cha kutoa. Kubali au kataa mwanamke akichangia lazima tu atalalamika au atataka ajione naye ni mtawala. Baadhi ya Waume wa wanawake wenye kipato kikubwa/madaraka wangekuja humu ungewahurumia. Na hii imeleta shida sana kwenye ndoa nyingi. Ukitaka kuishi kwa amani mwanamume simamia majukumu yako.
Majukumu lazima yasimamiwe lakini tusisahau mwanaume pia anachoka, sio rahisi kuishi nyumba moja na mwanamke ambae mnalingana kipato halafu bill zote ziwe juu yako, kwaiyo malalamiko yanapotolewa na mwanaume tusiwabeze.
 
Majukumu lazima yasimamiwe lakini tusisahau mwanaume pia anachoka, sio rahisi kuishi nyumba moja na mwanamke ambae mnalingana kipato halafu bill zote ziwe juu yako, kwaiyo malalamiko yanapotolewa na mwanaume tusiwabeze.
hakuna anayembeza mwanamume. Wanaume wanatakiwa waishi kwa akili na wake zao. Ukimsoma mkeo mwenye mahela yake na ukajua jinsi ya kuishi nae wala hutapata shida, atatoa mwenyewe bila kuambiwa. Lakini ukileta kibesi eti ana wajibu wa kuchangia hivyo achangie.... my friend hadi watoto watasimuliwa unavyotaka usaidiwe majukumu yako... mashoga zake wote watakujua na kukuita marioo hata kama unafanya unachokiweza
 
Back
Top Bottom