Nini husababisha wanawake kuwa wabinafsi kwenye mali

Nini husababisha wanawake kuwa wabinafsi kwenye mali

Kama mada inavyojieleza
Hivi ni nini hasa kinafanya wanawake kuwa wabinafsi kwenye suala zima la mali na mambo mengine kiuchumi?

Mfano mpo kwenye ndoa mke akiwa tu na kipato kikubwa kumzidi mume lazima ataleta ubinafsi katika umliki wa mali mlizochuma pamoja kisa tu yeye kachangia kikubwa.

Wakati mwanaume anaweza kuwa na uchumi mkubwa kumzidi mkewe lakini kwenye umiliki wa mali mfano nyumba anahesabu kama mali ya wote na anamshirikisha mke wake kwenye kila hatua ya maendeleo tofauti na wanawake wao wanafanya mambo peke yao bila kuwashirikisha waume zao

Najiuliza sana hii tabia ya hawa wanawake ya kujikweza na kujiona wanaweza kila kitu kisa tu wamewazidi uchumi waume zao.

Ukitaka kufa mapema mpe mtaji mkeo, oa mke mwenye kazi na uchumi mkubwa kukuzidi wewe mwanaume hakika hakuna rangi hutaacha kuiona.

Tuishi na kwa akili.
Kuna mambo mengi ndugu mdau,
1. Bado kuna mume kufariki ghafla, na ukute hajaacha wosia ndugu zake wakang'ang'ana mali za marehemu. Japo kuna sheria za mirathi, imagine mwanamke huna pakuangukia yeye na vifaranga vyake

2. Kuna suala zima la mume kutapanya mali kwa michepuko, watoto wa nje na wahuni huko nje. Mume hashauriki kwanini mwanamke asijiongeze kuinusuru kesho yake yeye na watoto. Wacha tu afiche

Hizi ni baadhi tu ya sababu
 
Ilo ni suala ambalo linajulikana, na ipo ipo tangu zama za nyuma lakini kuna msuguano ambao umeibuka katika zama za sasa.

Tupo katika zama za 50/50 mwanamke kapewa uhuru na access zote za kutafuta na tumeona wanawake wakifika hatua za juu zaidi ya wanaume mfano mzuri hapa nchini kwetu tuna Rais na Spika ambao ni wanawake.

Mnapokua ndoani wote mnatumia muda wa ndoa, kwa maana iyo kila mmoja anatakiwa kuleta output katika huo muda anaotumia sasa kusema kwamba mke atoke kutafuta halafu hapo hapo kipato chake kisihusishwe kwenye ustawi wa familia this is premier abuse of marriage time which a husband and wife are accountable to.
Asikwambie mtu mkuu, dunia imebadilika sana, mwanamke akiwa na kitu zama hizi hiyo ndoa ina 80% ya kuvunjika, itokee neema ya Mungu tu. Ubinafsi, tamaa, ujeuri, ujuaji vyote hivi havikosekani ndani ya ndoa ambayo mwanamke pia ana kipato.
 
Kama mada inavyojieleza
Hivi ni nini hasa kinafanya wanawake kuwa wabinafsi kwenye suala zima la mali na mambo mengine kiuchumi?

Mfano mpo kwenye ndoa mke akiwa tu na kipato kikubwa kumzidi mume lazima ataleta ubinafsi katika umliki wa mali mlizochuma pamoja kisa tu yeye kachangia kikubwa.

Wakati mwanaume anaweza kuwa na uchumi mkubwa kumzidi mkewe lakini kwenye umiliki wa mali mfano nyumba anahesabu kama mali ya wote na anamshirikisha mke wake kwenye kila hatua ya maendeleo tofauti na wanawake wao wanafanya mambo peke yao bila kuwashirikisha waume zao

Najiuliza sana hii tabia ya hawa wanawake ya kujikweza na kujiona wanaweza kila kitu kisa tu wamewazidi uchumi waume zao.

Ukitaka kufa mapema mpe mtaji mkeo, oa mke mwenye kazi na uchumi mkubwa kukuzidi wewe mwanaume hakika hakuna rangi hutaacha kuiona.

Tuishi na kwa akili.
Mkuu unajua hii yote inatokana na zana kwamba ego ya mwanaume ni uchumi alionao, ndio maana anauliza kama kwanza unakwanja maana kwao ni rahisi kuheshimu ukiwa na pesa.. Na Sio lazima kupenda, sasa wao wakiwa na huo uchumi wanaona Ile ego inayokupa haki ya kumtawala ndio iko kwao .. Wewe ndio jukumu lako uheshimu... Ingawa si wanawake wote hufanya hivi ila wengi
 
Back
Top Bottom