Nini husababisha watu waeleze mambo yanayohusu maisha yao kwenye mitandao ya kijamii?

Nini husababisha watu waeleze mambo yanayohusu maisha yao kwenye mitandao ya kijamii?

Joined
Nov 2, 2020
Posts
68
Reaction score
90
Wakuu kuna hili suala la baadhi yetu ambao tunasumbuliwa na mambo tofauti kimaisha.

Kwenye majukwaa ni rahisi kukuta mtu ameamua kuanika kinagaubaga yale anayofanya chumbani na mwenzi wake, au namna alivyonyanyaswa na mwenzake na mfano wa hayo.

Au hata wakati mwingine changamoto anazopitia ofisini au pale anapopatia riziki,

Wakati mwingine hata kushindwa kuzifuata mamlaka husika badala yake kubaki akilalama huku.

Suala hili linachangiwa na nini? Je, ni uwazi unaosababishwa na kufichwa kwa ID zetu?

Au ni kutokana na baadhi yetu kutojua zipi mbinu sahihi za kutafuta msaada way ale yatusumbuayo. Au ni kutokuwa na baadhi ya wataalam wa masuala ya saikolojia ambao wako tayari kuishirikisha jamii elimu ya msingi yaani basic knowledge juu ya kutafuta msaada au ni nini khasa?

Tuwe huru kushirikiana ili tuwasaidie wenzetu ambao huenda hili linawakumba.

Youth Worker

Hardness Teaches
 
Wakuu kuna hili suala la baadhi yetu ambao tunasumbuliwa na mambo tofauti kimaisha.

Kwenye majukwaa ni rahisi kukuta mtu ameamua kuanika kinagaubaga yale anayofanya chumbani na mwenzi wake, au namna alivyonyanyaswa na mwenzake na mfano wa hayo.

Au hata wakati mwingine changamoto anazopitia ofisini au pale anapopatia riziki,

Wakati mwingine hata kushindwa kuzifuata mamlaka husika badala yake kubaki akilalama huku.

Suala hili linachangiwa na nini? Je, ni uwazi unaosababishwa na kufichwa kwa ID zetu?

Au ni kutokana na baadhi yetu kutojua zipi mbinu sahihi za kutafuta msaada way ale yatusumbuayo. Au ni kutokuwa na baadhi ya wataalam wa masuala ya saikolojia ambao wako tayari kuishirikisha jamii elimu ya msingi yaani basic knowledge juu ya kutafuta msaada au ni nini khasa?

Tuwe huru kushirikiana ili tuwasaidie wenzetu ambao huenda hili linawakumba.

Youth Worker

Hardness Teaches
Hii mara nyingi naona watu wanakosa wakumweleza hisia zake. Anakosa sehemu ya kujieleza. Anaamua kuhamishia mitandaoni. Kuna wengine akipata mpenzi au wakiacha lazima wataandika tu hata kwenye status za WhatsApp
 
Hasa hizi status za watsap siku hizi ni shida......mtu anajaza ma status kibao yote analialia tu hasa wadada
 
Wadada wa aina hiyo wanaliwa kirahisi sana ..yaani anapost mlio wake ukiusoma unaona huyu ana tatizo ukimstua anakuelezea kama mchungaji wake unapiga kilaini...mitandao haikusaidii matatizo ni ya watu vumilia...
 
Kiuhalisia binadamu hutafuta mtu wa kumuelezea hisia zake au yanayo msibu sometime sio kwamba anahitaji misaada ila tu anajisikia faraja kufanya hivyo kwa hiyo waache wajieleze sisi tufaidike kwa kujifunza na ikiwezekana kusaidia tutasaidia MKUU najua ata wa kuna mahali inajielezea ili tu kupoza nafsi
 
Unajuaje kama ni kweli wanayosema
Kama wanajitungia tu [emoji23]
 
Hahah unasemaje kuhusu wale wanaotuchamba wapenzi wao kwenye mitandao ya kijamii?
Ni uswahili na ulimbukeni tu,mwanamke kamili anamchana laivu mpenzi wake sio kumchana kwenye status
 
Hahah unasemaje kuhusu wale wanaotuchamba wapenzi wao kwenye mitandao ya kijamii?
Ni uswahili na ulimbukeni tu,mwanamke kamili anamchana laivu mpenzi wake sio kumchana kwenye status
Huu wa kuwachamba ma ex ndo upuuz nauping hata mimi ila kueleza historia na mikasa ya kimaisha ni sahini kabsa
 
Huu wa kuwachamba ma ex ndo upuuz nauping hata mimi ila kueleza historia na mikasa ya kimaisha ni sahini kabsa
Watu waeleze hata matatizo yao inasaidia kutoa stress,nina rafiki zangu wa kike huwa naomba niwasikilize matatizo yao wakiwa hawana mtu wa kumwambia.Yaani hadi wananipigia simu tukutane wanielezee mimi naitikia mwanzo mpaka mwisho sishauri chochote wanafurahi hahah

Ndo maana wanawake hawafi mapema wanatoa stress,wanaume sasa yaani nikimwambia mwanaume mwenzangu matatizo yangu najihisi kama sijakamilika hivi
 
Watu waeleze hata matatizo yao inasaidia kutoa stress,nina rafiki zangu wa kike huwa naomba niwasikilize matatizo yao wakiwa hawana mtu wa kumwambia.Yaani hadi wananipigia simu tukutane wanielezee mimi naitikia mwanzo mpaka mwisho sishauri chochote wanafurahi hahah

Ndo maana wanawake hawafi mapema wanatoa stress,wanaume sasa yaani nikimwambia mwanaume mwenzangu matatizo yangu najihisi kama sijakamilika hivi
Ndiyo tulivyo umbwa mkuu hao wadada wanafarijika kwa ww kuwasikiliza tu ata uspo changia chochote hata sisi wanaume hujkaza tu ila inafika muda tunakuwa wawaz tu maana ukikaa kimya utateseka sana
 
Huo ni ushamba. Personally kitu naweza post on my socials ni biashara zangu and postive things in my life (minus who am fucking) . Kama nikiwa angry, sad, depressed, broke etc nazima data nalala.kwanini nifaidishe watu.
 
Uzi huu kama hujauwelewa unajikuta yale yaliozungumzwa yakuhusuyo wewe unayasema mbele ya jf members
 
Back
Top Bottom