Nini husababisha wivu katika Mapenzi

Nini husababisha wivu katika Mapenzi

Si umesema huna wivu na eti ambao hawana wivu ni nanilihiu lol
Mi napendaga tu kukutania Bonny
Ha ha ha ha usjal mama.... hujajiulza wale wadada wamekubalije kuolewa siku moja na Yule jamaa
Ingekua jamaa hana vumba wangeenda wale?
 
Ndoivo hakuna anayependa kushea mkuu eti uone kabisa kuwa juma Hamis john wote wanapita kwenye mali yako how will you feel??
Ila ni kama ka ujinga fulani ka asili, hivi kama kusingekuwa na maradhi, demu anakwenda kugegedwa na kurudi msafi tayari nawe kukupa chezo, pasi ule wa awali kuathiri chochote kile, tatizo linatoka wapi hapo,?!!

Huu ni ubinafsi mbaya kabisa, halafu hata kwa mdogo wako wa damu hutaki. Uchoyo wa asili.
 
Hivi wanawake nao wanawivu? Ni ujinga kuwa nao kwakuwa si asili yao kuwa nao, viumbe viko vingi jifunzeni toka kwao.
 
Ha ha ha ha usjal mama.... hujajiulza wale wadada wamekubalije kuolewa siku moja na Yule jamaa
Ingekua jamaa hana vumba wangeenda wale?

Ndomana kuna pahala nimesema dushe na factors nyingine zinaambatana pamoja
 
Cjasikia umesema????

Dushe dushe babaa dushe nalo linahuu
Huoni kuna member alilalamika anapewa kila kitu Mipesa kwa sana but kwenye mambo yetu yalee changamoto kidogo lol Mengine

Wacha nifunge domo langu mie
 
Dude dushe babaa dushe nalo linahuu
Huoni kuna member alilalamika anapewa kila kitu Mipesa kwa sana but kitu bamia lol Mengine

Wacha nifunge domo langu mie
Ha ha ha ha kumbe mnajua power of dushe mnaleta jeur tu hapa pesa pesa kumbe msing kiuno
 
Ila ni kama ka ujinga fulani ka asili, hivi kama kusingekuwa na maradhi, demu anakwenda kugegedwa na kurudi msafi tayari nawe kukupa chezo, pasi ule wa awali kuathiri chochote kile, tatizo linatoka wapi hapo,?!!


Huu ni ubinafsi mbaya kabisa, halafu hata kwa mdogo wako wa damu hutaki. Uchoyo wa asili.


Aaaaaaaaa mkuu masihara hayo
Habari ya katoka kwa jeams kupakuliwa nawe akupe mchezo duhhhhhhhhhhh
Hatareeeeeeeee
 
Ndomana kuna pahala nimesema dushe na factors nyingine zinaambatana pamoja

Kwahyo umekubal ma point yangu enhee don't c.c Julian please atapata wivu
Bonny mimi na mahondaw wangu hatufichani kitu... [emoji23] i know whats going on with her same to her she knows whats going on with me...

Kuwa na amani... Namuamini mahondaw [emoji23] [emoji23]
Cjasikia umesema????

Dude dushe babaa dushe nalo linahuu
Huoni kuna member alilalamika anapewa kila kitu Mipesa kwa sana but kwenye mambo yetu yalee changamoto kidogo lol Mengine

Wacha nifunge domo langu mie
 
Ha ha ha ha kumbe mnajua power of dushe mnaleta jeur tu hapa pesa pesa kumbe msing kiuno

Heheheeeiyaaaaaaaaaaaa
Kuna wanaume wanajua kukaza nyie acheni tu
Hata kama ulikua kiroporopo kimyaaaaaa maneno kwishaaaa na kupiga mzinga unasahau kabisaa
Don't underestimate the power of dushelele

Mengine Wacha nifunge domo langu
 
Hivi wanawake nao wanawivu? Ni ujinga kuwa nao kwakuwa si asili yao kuwa nao, viumbe viko vingi jifunzeni toka kwao.

Wivu tunao tena sisi wanawake ndo balaa sasa
Wivu wetu ni balaa
 
Heheheeeiyaaaaaaaaaaaa
Kuna wanaume wanajua kukaza nyie acheni tu
Hata kama ulikua kiroporopo kimyaaaaaa maneno kwishaaaa na kupiga mzinga unasahau kabisaa hapana chezea the power of deshelele

Mengine Wacha nifunge domo langu
Ha ha ha ha ha nmecheka balaa et wanakaza balaa
Kumbe kuna muda akili zenu zinarud mkikazwa Sawa Sawa
Ma hyo ndio dawa yenu Hakuna cha pesa wala nn maana Hakuna starehe kama reaching the top of the tower of climax
No money can buy that fantasy only dushe has been blessed for that
Toa pesa ntoe mkuno tuone Nan ataonewa wivu mwisho wa siku.
 
TMPDOODLE1491641290450.jpg
 
Back
Top Bottom