Nini husababisha wivu katika Mapenzi

Nini husababisha wivu katika Mapenzi

Bonny mimi na mahondaw wangu hatufichani kitu... [emoji23] i know whats going on with her same to her she knows whats going on with me...

Kuwa na amani... Namuamini mahondaw [emoji23] [emoji23]
Ha ha ha ha ha love in the air love in the air sio Mbaya la msing Hilo Hilo endlea kumumn bibie na umuamn kwel kwel sio Ile ya kawaida kawaida
 
Ha ha ha ha ha nmecheka balaa et wanakaza balaa
Kumbe kuna muda akili zenu zinarud mkikazwa Sawa Sawa
Ma hyo ndio dawa yenu Hakuna cha pesa wala nn maana Hakuna starehe kama reaching the top of the tower of climax
No money can buy that fantasy only dushe has been blessed for that
Toa pesa ntoe mkuno tuone Nan ataonewa wivu mwisho wa siku.

Khakhaakhaaaaa ni hatareeeeeeeeeeeeeeee
Wee mkaze kisawasawa uone kama akiondoka hatorudi ataenda ahongwe hongwe na kupakazwa shombo tu lakini atakuwazia na kukukumbuka sana na ikiwezekana ataomba mechi ya kirafiki sometimes
 
Khakhaakhaaaaa ni hatareeeeeeeeeeeeeeee
Wee mkaze kisawasawa uone kama akiondoka hatorudi ataenda ahongwe hongwe na kupakazwa shombo tu lakini atakuwazia na kukukumbuka sana na ikiwezekana ataomba mechi ya kirafiki sometimes
Ha ha ha ha inaitwa mtakuja primary school hyo anaondoka ila anajua kabisa one day yes a will be back
Friend match wakat watu wanaomba kabisa washiriki lig mbili ligi kuu nyumban kwake na kwengne ligi ya mabingwa zile mech za msimu
 
Ni kitu natural huwez kua na sababu ya moja kwa moja ukimpenda mtu unakua na wivu si kwenye mapenz tu ata kwenye familia na kwenye urafiki
 
Simuamini mwanaume yoyote yule kwa mahondaw...

Namuamini @mahonadw lakini siyo watu wanaomzunguka... My eyes are watching, my ears are open...
Ha ha ha ha ha Mr Julian nakuona nakuona we niamin tu mahondaw swahiba wangu mzur tu
Mtoto kashazoea zile lyrics za kizungu Mara umuimbie ule mwimbo wa I wana make love to u tonight wa boys to men
Mie mswahil naweza wap
 
TMPDOODLE1491641888685.jpg
 
Ha ha ha ha inaitwa mtakuja primary school hyo anaondoka ila anajua kabisa one day yes a will be back
Friend match wakat watu wanaomba kabisa washiriki lig mbili ligi kuu nyumban kwake na kwengne ligi ya mabingwa zile mech za msimu

Hongera mkuu seems uko vizureeeeeeeeee khakhaakhaa
 
Ha ha ha ha ha Mr Julian nakuona nakuona we niamin tu mahondaw swahiba wangu mzur tu
Mtoto kashazoea zile lyrics za kizungu Mara umuimbie ule mwimbo wa I wana make love to u tonight wa boys to men
Mie mswahil naweza wap

Hahahaahhahahaahahahahaha ila Bonny buana unaniacha hoi huku nacheka mpaka majirani wananishangaaaaa

Sio nyimbo tu hata kwenye gemu full kizunguuu
Ni mambo ya "do you feel it baby"wakati mi nishazima zamaaaaaani nipo sijui ulimwengu wa ngapi huko nasikia kwa mbaaaaaaaalli baby baby baby baby mi mh mh mh mh mh lol


Mengine Wacha nifunge domo langu
 
Hahahaahhahahaahahahahaha ila Bonny buana unaniacha hoi huku nacheka mpaka majirani wananishangaaaaa

Sio nyimbo tu hata kwenye gemu full kizunguuu
Ni mambo ya "do you feel it baby"wakati mi nishazima zamaaaaaani nipo sijui ulimwengu wa ngapi huko nasikia kwa mbaaaaaaaalli baby baby baby baby mi mh mh mh mh mh lol


Mengine Wacha nifunge domo langu
Ha haha ha ha do u fill bebi enhee Umeona sasa wakat sie wa uswahilin twaulizana ushafika Kwan tayar
Haha ha ha endlea tu kusimulia maana na Mie nipate inglish kozi hapa nimpate wa kumuimbia careless whisper badae
 
Na kuna zile hisia tu za kijinga kwamba katika tendo kuna kitu unamfanyia au kufanyiwa kuna mtu anapata vile vile labda na kwa viwango bora zaidi
 
Back
Top Bottom