MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
Jamani ligi kuu Uingereza kuna dalili mwisho wa msimu Manchester United na Chelsea zikamaliza nafasi mbili za mwanzo za juu na kuna uwezekano mkubwa wakamaliza points zimelingana na hata kuna uwezekano pia goli differ ikawa sawa kabisa.
Jinsi ninavyoona head to head ya timu hizo mbili ikafanana na factors nyingine pia.
Swali langu ni je nini ufanyika inapotokea hali hiyo? Ligi hurudiwa?Kombe hugawanwa? Au busara gani hutumika?
Karibuni kwa mchango
Jinsi ninavyoona head to head ya timu hizo mbili ikafanana na factors nyingine pia.
Swali langu ni je nini ufanyika inapotokea hali hiyo? Ligi hurudiwa?Kombe hugawanwa? Au busara gani hutumika?
Karibuni kwa mchango