Nini hutokea ligi ikiisha timu mbili za mwanzo zikalingana kwa kila kitu?

Anaitwa adam mchovu tu hapo
anatembeza mitama ya nguvu kwa makocha woteee...atakayedondoka kaaga mashindano
 
Si rahisi kulingana vyote hivyo. Away goals?
 
Kwa mtu anayefuatilia soka, wala hukupashwa kuuliza swali kama hili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…