Nini hutokea na kupelekea risasi kupungua madhara kutokana na umbali?

Mbona unajitesa hivyo ndugu yangu si urushe tu jiwe alafu ulicheki kama likifika mita
100 lina madhara
 
True. The force that pushes a bullet forward has no effect to the gravitation force that pulls a bullet downward, assuming the forward force of a bullet is perpendicular to the gravitational force. Since its the same force (g) that pulls two bullets at the same time downward, then they will hit the ground at the same time since they're at the same height. Doesn't matter whether the other bullet is moving forward or not.
 
Spidi ya risasi inapungua kutokana na msuguano Kati ya risasi na hewa, hivyo kupoteza nguvu jinsi risasi inavyoenda mbele. Spidi ya risasi (muzzle velocity) inapotoka kwenye bunduki inategemea uzito wa risasi, urefu wa bomba la bunduki na ubora/wingi wa baruti.
 
Newton's 3rd law
Every action force there is equal and opposite rct force
Hivyo itategemea force iliyokua applied, paspo kujalisha medium
 
Makruta na ma service man msipotoshe watu, watu wakajaribia ktk maisha Yao ya kila sku na kulete madhala makubwa wkt mwingine maafa.
N vzr watu wanao elewa wakatusaidia kujibu
 
Makruta na ma service man msipotoshe watu, watu wakajaribia ktk maisha Yao ya kila sku na kulete madhala makubwa wkt mwingine maafa.
N vzr watu wanao elewa wakatusaidia kujibu
Itakuwa ulipitia JKT wewe[emoji3]
Hawajafanya vibaya kwamaana wamejitahidi kuelezea kwa kadri wajuavyo kutokana na mafunzo waliyopewa. Ukisema kika kitu achangie mtaalamu wa kitu fulani respectively, basi hakuna uzi humu utakaopata maswali na wachangiaji wa kutosha.
Waache wafurahie uhuru wao ndani ya jukwaa hili pendwa[emoji120]
 
N kweli mkuu.
samahan wana jf...... =(=(
 
Sijui kama jamaa alikuwa hajui kuwa umbali unapunguza madhara ya risasi...

Mie nadhani ulikuwa unataka ufananishe risasi na bomu....kwenye kuleta impacts...

Jaribu kupitia google then check mechanism ya risasi kwenye kuleta madhara
 
Facebook addicted at work
 
Chukuwa Manati ya kuwindia Ndege..
Mpe mwenzio aweke kijiwe au goroli kisha hesabu hatua 5 toka kwake mwambie akupige...
Baada ya hapo hesabu hatua zako 30 akupige tena
Hapo nadhani utaanza kuelewA...
Sawa kijanaa
Asipokuelewa hapa atakuwa anatokea koromije
 
Momentum mkuu
 
Perfect. Short and clear
 
Umeandika nin sasa
 
Maximum range ya bunduki inapatikana kwa angle ya elevation 45 degrees, hivyo ni muhimu kujua umbali ambao kutakuwa na mnyooko wa kulenga shabaha na ule ambao yaweza kuua au kujeruhi bila dhamira ya mpigaji.
Ha ha projectile motion
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…