Nini hutokea na kupelekea risasi kupungua madhara kutokana na umbali?

Nini hutokea na kupelekea risasi kupungua madhara kutokana na umbali?

Bernoulli's
Vipi kwenye risasi Bernoulli principle inahusika pia?
NDIO MKUU
Bernoulli principle inahusika sehemu kubwa sana ktk sehemu tatu ili risasi itembee ambazo ni
1. Pressure energy ( P/pg)
2.kinetic energy (V²/2g)
3.potential energy (z)
Ukisoma application za differential equation, utamkta akielezea motion kinaga ubaga, Bernoulli utamkta pia kwa mambo ya motion za vitu mbali mbali pia.
Ukisoma Hydraulic/ fluid mechanics utamkta pia.
Ni sehemu nyingi sana utaktana na Bernoulli mkuu zinazo husisha pressure na mwendo.
kumbuka kua Bernoulli aliweza kuform equation yake kutokea kwa Newton's second law of motion
"the net force Fx acting in an object in the direction of x is equal to the mass m of the object multiplied by the acceleration ax
Mathematically Fx = m.ax
Hivyo basi risasi ikiwa inatembea, nguvu yake inategemea kani ya msukumo/mgandamizo (pressure force) iliyo Sababishwa na baruti ndani ya bunduki.
madhala ya huo mgandamizo ni mlipuko na sauti mkuu.
Hivyo Bernoulli principle anahusika kabsa
Na equation yake ni kama ifuatavyo
(P/pg) plus (V²/2g) plus (Z) = constant
Where
P/pg = pressure energy per unity weight
V²/2g = kinetic energy per unity weight
Z = potential energy per unity weight
Equation ina mfuatano wa watu wafuatao
Newton's second equation of motion, Reynold's equation of motion, Navier-stokes Equation, Euler's equation of motion, na badae Ndo Bernoulli's principle.
 
kifupi ni loss of energy in form of heat na effect ya air resistance kutegemeana na angle ya projection.
 
Kwanza nataka nikusahihishe kidogo ingawa vingi upo sahihi. Kariba ya bunduki sio inayoamua risasi ianze kuleta madhala kuanzia umbali gani bali kazi ya kariba ni kuifanya risasi iende katika usahihi na mnyooko unaotakiwa kutokana na uwezo wa mwendo uliotengenezewa aina hiyo ya risasi . Ndiomaana kila bunduki ina kariba ya ukubwa wake ingawa zipo zingine zinazolingana kama kariba ya SMG, SAR, LMG etc na zote zinatumia aina moja ya risasi.
Kwasababu umechukulia SMG kama ndio reference wacha tusonge nayo hii; kinachoifanya risasi ikimbie umbali fulani na kuua au kujeruhi ni ujazo wa baruti, kuna baruti za aina mbili, baruti nyepesi ambayo kazi yake ni kusababisha mlipuko baada ya Pin kugonga nyuma ya risasi na baruti nzito inayoisafirisha risasi. Baruti hii ndio hujazwa kutokana na malengo ya umbali anaoutaka mtengenezaji. Kwa risasi inayotimiwa na bunduki ya SMG inauwezo wa kusafiri 800m kwa sekunde, kuua kuanzia mlengaji alipo hadi umbali wa 1500m na kujeruhi kuanzia 1500m mpaka inapokosa nguvu na kudondoka chini ambao ni umbali wa 2160. Na nafikili hapa ndipo kipo kiini cha swali lako kwanini hujeruhi kuanzia 1500m?
Nimetengeneza space nitarudi maana natumia simu
Mkuu kwa heshima zote naomba nikuambie haya maelezo yote hujatoa jibu sahihi la kifizikia ambalo kuna mdau hapo juu ameshajibu kwa maneno machache sana. Labda nijaribu kurudia majibu yake kwa kiswahili:-
Nguvu ya mvuto kuelekea uso wa dunia (gavitational pull) na mkingamo wa hewa unapunguza nishati mwendo (kinetic energy) ambayo ndio husababisha kupungua kwa madhara ya msukumo au mgongano unaoleta madhara makubwa kwa kitu kinachopigwa. Nikichanganya kiswangilish ni kwamba Gravitation force and air friction reduces kinetic energy of the bullet therefore it reduces the momentum and the impact force. Naruhusu kukosolewa wadau maana haya mambo tuliachana nayo miaka mingi sana na kama ujuavyo wabongo hatutumii sana elimu au maarifa tuliyopata shuleni.

Nyongeza ya maelezo:
Kwa kumalizia hapa ni kwamba Distance au umbali wa risasi kusafiri unapoongezeka ndivyo inakuwa imetembea sehemu kubwa yenye mkingamo wa msuguano wa hewa na muda uliotumia unakuwa mkubwa hivyo velocity inapungua (Velocity=Distance/Time). Kumbuka Momentum=Mass x Velocity kwa hivyo velocity ikipungua na momentum inapungua na collision impact inapungua.
 
Bernoulli's
NDIO MKUU
Bernoulli principle inahusika sehemu kubwa sana ktk sehemu tatu ili risasi itembee ambazo ni
1. Pressure energy ( P/pg)
2.kinetic energy (V²/2g)
3.potential energy (z)
Ukisoma application za differential equation, utamkta akielezea motion kinaga ubaga, Bernoulli utamkta pia kwa mambo ya motion za vitu mbali mbali pia.
Ukisoma Hydraulic/ fluid mechanics utamkta pia.
Ni sehemu nyingi sana utaktana na Bernoulli mkuu zinazo husisha pressure na mwendo.
kumbuka kua Bernoulli aliweza kuform equation yake kutokea kwa Newton's second law of motion
"the net force Fx acting in an object in the direction of x is equal to the mass m of the object multiplied by the acceleration ax
Mathematically Fx = m.ax
Hivyo basi risasi ikiwa inatembea, nguvu yake inategemea kani ya msukumo/mgandamizo (pressure force) iliyo Sababishwa na baruti ndani ya bunduki.
madhala ya huo mgandamizo ni mlipuko na sauti mkuu.
Hivyo Bernoulli principle anahusika kabsa
Na equation yake ni kama ifuatavyo
(P/pg) plus (V²/2g) plus (Z) = constant
Where
P/pg = pressure energy per unity weight
V²/2g = kinetic energy per unity weight
Z = potential energy per unity weight
Equation ina mfuatano wa watu wafuatao
Newton's second equation of motion, Reynold's equation of motion, Navier-stokes Equation, Euler's equation of motion, na badae Ndo Bernoulli's principle.
Engineer umeenda mbali na jibu zito kwa swali jepesi. By the way tunashukuru kwa kutukumbusha hayo madudu. Jibu rahisi ni gavitational pull , na air resistance vinapunguza kinetic energy ya risasi hivyo impact inakuwa dhaifu kwavile momentum ni ndogo. Kwa kumalizia hapa ni kwamba Distance au umbali wa risasi kusafiri unapoongezeka ndivyo inakuwa imetembea sehemu kubwa ya mkingamo wa msuguano wa hewa na muda uliotumia unakuwa mkubwa hivyo velocity inapungua (Velocity=Distance/Time). Kumbuka Momentum=Mass x Velocity kwa hivyo velocity ikipungua na momentum inapungua na collision impact inapungua.
 
Engineer umeenda mbali na jibu zito kwa swali jepesi. By the way tunashukuru kwa kutukumbusha hayo madudu. Jibu rahisi ni gavitational pull , na air resistance vinapunguza kinetic energy ya risasi hivyo impact inakuwa dhaifu kwavile momentum ni ndogo. Kwa kumalizia hapa ni kwamba Distance au umbali wa risasi kusafiri unapoongezeka ndivyo inakuwa imetembea sehemu kubwa ya mkingamo wa msuguano wa hewa na muda uliotumia unakuwa mkubwa hivyo velocity inapungua (Velocity=Distance/Time). Kumbuka Momentum=Mass x Velocity kwa hivyo velocity ikipungua na momentum inapungua na collision impact inapungua.
Kweli kabsa mkuu.
 
Kuna mdau kakujibu vema kabisa..

Kinacho make impact kubwa na kuwa high penetration power ni ile momentum na force inayo rushwa kutokwa kwenye firing device

Kadili inavyo safiri, ndipo inapokutana na ukinzani wa hewa, mvuto wa dunia. Hili hupunguza ile force iliyo isukumwa kutoka mwanzon na madhara yake hupungua pia.

NB.
Nguvu ya usukumaji wa cartilage hutofautiana kutoka mtambo mmoja hadi mwingine, mashine kama short gun, SAR, PISTOL, SMG, LMG, MI6 etc huwa na umbali tofauti unaofaaa kwa mapambano.

Mfano, SAR umbali mzuri ni MITA 300. Means zaidi ya hapo, nguvu ya risasi hupungua na hujeruhi tu.
naikubali sana AK47
 
Kwanza ngoja ni kusahihishe kitu, kitaalamu hakuna bunduki inayoitwa Submachine Gun (SMG) kiuhalisia SMG ni Muundo tu wa bunduki, yaani SMG ni ile bunduki ambayo mapigo yake yapo automatic, mfano, SMG Uzi gun, SMG ak47, SMG ak74, SMG G3, SMG RPK, SMG M,16 nk.
Ukiitoa SMG Uzi gun hapo juu siraha zote hizo zinapiga umbali wa mita ,1500 ambapo ni sawa na km moja na nusu, na zinauwezo wa kuuwa umbali wa mita 1200 zaidi ya hapo inajeruhi tu kwasababu ile gravity air inakuwa imepungua.
 
Back
Top Bottom