Nini itakuwa sifa ya kujiunga na a-level na vyuo vingine

kufaulu kwenda kidato cha tano ni C (credit) tatu pamoja na D (pass) zisizopungua mbili
 


Kwanini mtu asisomee sheria/uanasheria? Tunaomba sababu zako, zitasaidia wengine.
Usikute yeye anapenda kusoma kitu tofauti na unachopendekeza wewe!
 

kama ni msichana kuna shule ipo same kilimanjaro inaitwa KANDOTO SAYANSI hapo kwa pcb ntamshauri,
kuna shule kama majengo pia ipo moshi... nyingine watajazia wadau!!! mpe hongera sana na wewe pia hongera!!!
ANGALIZO...
Kipindi hiki (baada ya matokeo kutoka) ni kipindi ambacho wanafunzi wengi sana wanapoteza ndoto zao hasa kwa maneno toka kwa wenzao, nakushauri kama kweli anania ya kuwa daktari basi anza kumjenga tokea sasa na kama akienda shule uwe msaada wake hasa kwa kumpa moyo pindi masomo yanapokua magumu!!! kila la heri...
 
Weee.. mwambie aache kabisa hiyo PCB labda kama ataenda Private.. na sio Serikali.. Fom Six atapata vitu vya ajabu..

Ningesikilizaga watu kama nyie walahii nsingekuwepo hapa nilipo!!!! kwani wanaoenda serikali hawafaulu?? hivi watu kama nyie tanzania mtaisha lini??
 
Nadhani wizara itatoa ufafanuzi wa hilo ila me naona sifa ya kwenda advance itakua div 1 mpaka div III ya 25,then the rest nafasi za vyuo
 
Nadhani wizara itatoa ufafanuzi wa hilo ila me naona sifa ya kwenda advance itakua div 1 mpaka div III ya 25,then the rest nafasi za vyuo

kwani div 3 ya 25 na div 3 ya 31zinautofauti gani?na kama mwisho ni div 3 ya 25 kwa nini 30 iwe div 3,na kama ni hivyo mbona hawajasema kuna div 3 negative na positive.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…