DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
Kwenye swala hili nahisi limenipita na dunia imeniacha, Samahanini wana JF hivi vipipi mahaba ni nini?
Maana kila sehemu nikipita kwa baadhi ya watu wanazungumzia sana na wapo wanaonunua mpaka kwa bei kubwa kweli kweli.
Na kuna siku juzi kuna msichana mmoja aliniambia kuwa anavitumia na vimesababisha akapewa pesa nyingi( Kwenye kazi yake ya kudanga). Hebu naombeni mnitoe tongotongo kwa picha navijua ila sijui kazi yake na vinaliwaje na vinatumikaje
Naomba kuelimishwa...
Maana kila sehemu nikipita kwa baadhi ya watu wanazungumzia sana na wapo wanaonunua mpaka kwa bei kubwa kweli kweli.
Na kuna siku juzi kuna msichana mmoja aliniambia kuwa anavitumia na vimesababisha akapewa pesa nyingi( Kwenye kazi yake ya kudanga). Hebu naombeni mnitoe tongotongo kwa picha navijua ila sijui kazi yake na vinaliwaje na vinatumikaje
Naomba kuelimishwa...