Nini kazi ya Nyonyo/Chuchu/Matiti kwa jinsia ya kiume?

Pale wifi anapo zinyonya taratibu na kuzin'gatan'gata unacho kihisi icho ndo kazi yake
 
Pale wifi anapo zinyonya taratibu na kuzin'gatan'gata unacho kihisi icho ndo kazi yake
Ngoja nimwambie aiseeee....
Nakuja na jibu soon
 
kweli haya ni mawazo ya kushiba...tungoje majibu mana hata mimi natamani kujua kaxi yake
Ni mawazo tu mkuu.
Ujue watu kama mimi wenye uzito wa akili, tunakuaga na tabia ya kutafakari jambo dogo kwa mtazamo mpana sana
 
Mbona hatubaki na sehemu za nyeti za kike kama alama?
 
Basically for stimulation . Hapo kuna several hundreds nerve endings
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…