Nini kazi ya Nyonyo/Chuchu/Matiti kwa jinsia ya kiume?

Nini kazi ya Nyonyo/Chuchu/Matiti kwa jinsia ya kiume?

Pale wifi anapo zinyonya taratibu na kuzin'gatan'gata unacho kihisi icho ndo kazi yake
 
kweli haya ni mawazo ya kushiba...tungoje majibu mana hata mimi natamani kujua kaxi yake
Ni mawazo tu mkuu.
Ujue watu kama mimi wenye uzito wa akili, tunakuaga na tabia ya kutafakari jambo dogo kwa mtazamo mpana sana
 
Wewe nafikiri elimu ya biologia imekupita kushoto
Hivyo ni vigumu kuelewa elimu hii...kwa haraka
Ki msingi...tukiwa tumboni kwa mama zetu wapendwa..wote tunafanana...stage by stage ndio viungo vingine vinakuwa dominant...na vingine Kama chuchu za kiume zina bakia kama Alama tu
Mbona hatubaki na sehemu za nyeti za kike kama alama?
 
Back
Top Bottom