Nini kazi ya Unga uliomo kwenye 'eksozi' ya gari?

Wildlifer

JF-Expert Member
Joined
May 12, 2021
Posts
1,884
Reaction score
5,235
Kwema wakuu.

Leo nimekutana na kitu kigeni, nikajua hapa JF hakuna kinachokosa majibu.

Kwenye 'eksozi' ya gari, ndani yake ukichimbachimba, unapata vipande vipande kama vya udongo na unga unga. Nimeambiwa unauzwa. Lakini sijapata Majibu hasa kazi ya ule unga ni nini.

Naombeni kuelimishwa kwa wenye ufahamu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…