Nini kifanyike ili kuepuka "kuchapiwa"?

Hao wanaochapwa si ni wao walikuwa mabikra , ushaur mbovu kuwah kutokea
 
We jamaa unaakili sana,..yani Mwanamke sio wakumfaatilia hata kidogo akiamua kuwekwa atawekwa tu utake usitake
 
Usianzishe uhusiano tu huo ndio uhakika kitochapiwa
 

Mume ni bodyguard wa mke na mke ni hivyo hivyo.. unaweza ignore hii.. ila jiandae kisaikolojia.. mwanamke bila protection.. anakuwa kama kwenye war zone peke yake.. pressure ikiwa kubwa anachanua tu


Kucheat kupo, ila kwasababu hakuna wizi mtaani kwako, usiweke mlango 😅😅 wakija wanaingia tu

Ukweli mchungu sana huu mkuu.
 
Ni kugeuka mchapaji tu kama unaogopa kuchapiwa.
 
Itune mind YAKO iamini Ili usiende jela kisa mapenzi. Watu zaidi ya elf moja wote wakose?
Mwanamke wa kawaida tu kwa siku utongozwa na si chini ya wanaume watatu kwa siku.
 
Umetisha mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…